Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 275
- 471
Mimi ni mkazi wa Mtwara, nina lalamiko kuhusiana na malipo ya korosho kupitia Chama cha Ushirika-TANECU (Tandahimba-Newala Cooperative Union) umefanyika mnada wa kwanza, wa pili, wa tatu na wa nne.
Malipo yaliyofanyika ni ya mnada wa kwanza na mnada wa pili ambapo baadhi ya Wakulima ndio wamelipwa.
Nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara kupitia Makarani kwamba shida ni Nini? Wanadai wame-submit taarifa zote za malipo Payment Centers lakini bado inachukua muda mrefu kuchakatwa.
Malipo yaliyofanyika ni ya mnada wa kwanza na mnada wa pili ambapo baadhi ya Wakulima ndio wamelipwa.
Nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara kupitia Makarani kwamba shida ni Nini? Wanadai wame-submit taarifa zote za malipo Payment Centers lakini bado inachukua muda mrefu kuchakatwa.