Pre GE2025 Chama cha NLD champongeza Rais Samia kuteuliwa kuwa mgombea Urais CCM. Viongozi waipinga "No Reform No Election" ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,724
4,475
Wakuu,

Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema kitaendelea kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 licha ya changamoto za kisiasa.

Akizungumza Februari 23, 2025, jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa NLD, Doyo Hassan Doyo, alieleza kuwa chama hicho hakijaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ya "No reforms, no election". Badala yake, NLD itaendelea kuwaeleza wananchi sera zake.

"Vyama vya siasa vipo 19, ikiwemo NLD. Sisi hatuendi msituni wala hatususii uchaguzi, bali tunaenda kuwaeleza wananchi sera zetu ili watupe ridhaa ya kuwaongoza,"
Alieleza kuwa mwaka 2015, vyama vya NLD, CUF, CHADEMA, na NCCR-Mageuzi viliungana kwa lengo la kuiondoa CCM madarakani, lakini NLD ilidhurumiwa kwa kuwaondoa wagombea wake wa nafasi mbalimbali za uchaguzi.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Taifa wa NLD, Mfaume Khamis Hassan, wakati akifungua mkutano huo, ameomba serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwapatia ajira za kudumu walimu wanaojitolea.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani ya nchi na kuepuka vyama vya siasa vinavyohamasisha uvunjifu wa amani.

nld.png

Katika hatua nyingine, Mfaume amempongeza Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akimtakia kila la kheri katika safari yake hiyo.

Source: Nipashe
 
NLD? Vyama pandikizi hivi, vyama vya kisiasa vya KICHAWA, kipuuzwe
Wakuu,

Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema kitaendelea kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 licha ya changamoto za kisiasa.

Akizungumza Februari 23, 2025, jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa NLD, Doyo Hassan Doyo, alieleza kuwa chama hicho hakijaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ya "No reforms, no election". Badala yake, NLD itaendelea kuwaeleza wananchi sera zake.

"Vyama vya siasa vipo 19, ikiwemo NLD. Sisi hatuendi msituni wala hatususii uchaguzi, bali tunaenda kuwaeleza wananchi sera zetu ili watupe ridhaa ya kuwaongoza,"
Alieleza kuwa mwaka 2015, vyama vya NLD, CUF, CHADEMA, na NCCR-Mageuzi viliungana kwa lengo la kuiondoa CCM madarakani, lakini NLD ilidhurumiwa kwa kuwaondoa wagombea wake wa nafasi mbalimbali za uchaguzi.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Taifa wa NLD, Mfaume Khamis Hassan, wakati akifungua mkutano huo, ameomba serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwapatia ajira za kudumu walimu wanaojitolea.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani ya nchi na kuepuka vyama vya siasa vinavyohamasisha uvunjifu wa amani.


Katika hatua nyingine, Mfaume amempongeza Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akimtakia kila la kheri katika safari yake hiyo.

Source: Nipashe
 
Hawajamaa wana akili nyingi kushinda kamati kuu ya chadema
 
Wakuu,

Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema kitaendelea kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 licha ya changamoto za kisiasa.

Akizungumza Februari 23, 2025, jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa NLD, Doyo Hassan Doyo, alieleza kuwa chama hicho hakijaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ya "No reforms, no election". Badala yake, NLD itaendelea kuwaeleza wananchi sera zake.

"Vyama vya siasa vipo 19, ikiwemo NLD. Sisi hatuendi msituni wala hatususii uchaguzi, bali tunaenda kuwaeleza wananchi sera zetu ili watupe ridhaa ya kuwaongoza,"
Alieleza kuwa mwaka 2015, vyama vya NLD, CUF, CHADEMA, na NCCR-Mageuzi viliungana kwa lengo la kuiondoa CCM madarakani, lakini NLD ilidhurumiwa kwa kuwaondoa wagombea wake wa nafasi mbalimbali za uchaguzi.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Taifa wa NLD, Mfaume Khamis Hassan, wakati akifungua mkutano huo, ameomba serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwapatia ajira za kudumu walimu wanaojitolea.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani ya nchi na kuepuka vyama vya siasa vinavyohamasisha uvunjifu wa amani.


Katika hatua nyingine, Mfaume amempongeza Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akimtakia kila la kheri katika safari yake hiyo.

Source: Nipashe
well done visionary NLD💪👊
 
Wakuu,

Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema kitaendelea kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 licha ya changamoto za kisiasa.

Akizungumza Februari 23, 2025, jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa NLD, Doyo Hassan Doyo, alieleza kuwa chama hicho hakijaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ya "No reforms, no election". Badala yake, NLD itaendelea kuwaeleza wananchi sera zake.

"Vyama vya siasa vipo 19, ikiwemo NLD. Sisi hatuendi msituni wala hatususii uchaguzi, bali tunaenda kuwaeleza wananchi sera zetu ili watupe ridhaa ya kuwaongoza,"
Alieleza kuwa mwaka 2015, vyama vya NLD, CUF, CHADEMA, na NCCR-Mageuzi viliungana kwa lengo la kuiondoa CCM madarakani, lakini NLD ilidhurumiwa kwa kuwaondoa wagombea wake wa nafasi mbalimbali za uchaguzi.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Taifa wa NLD, Mfaume Khamis Hassan, wakati akifungua mkutano huo, ameomba serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwapatia ajira za kudumu walimu wanaojitolea.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani ya nchi na kuepuka vyama vya siasa vinavyohamasisha uvunjifu wa amani.


Katika hatua nyingine, Mfaume amempongeza Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akimtakia kila la kheri katika safari yake hiyo.

Source: Nipashe
NLD? Vyama pandikizi hivi, vyama vya kisiasa vya KICHAWA, kipuuzwe
Hiki ni miongoni mwa Vyama Mamluki vilivyoundwa na Watawala kwa ajili ya kuendesha Ghiriba za kisiasa hapa Tanzania.

Vyama vya namna hii vipo vingi Sana kwenye nchi zenye tawala za kikomunisti/Ujamaa Kama vile nchini Urusi, Belarus au Venezuela. Hili ni jambo la kawaida kwa Watawala Wakomunisti.
 
Wakuu,

Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema kitaendelea kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 licha ya changamoto za kisiasa.

Akizungumza Februari 23, 2025, jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa NLD, Doyo Hassan Doyo, alieleza kuwa chama hicho hakijaunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ya "No reforms, no election". Badala yake, NLD itaendelea kuwaeleza wananchi sera zake.

"Vyama vya siasa vipo 19, ikiwemo NLD. Sisi hatuendi msituni wala hatususii uchaguzi, bali tunaenda kuwaeleza wananchi sera zetu ili watupe ridhaa ya kuwaongoza,"
Alieleza kuwa mwaka 2015, vyama vya NLD, CUF, CHADEMA, na NCCR-Mageuzi viliungana kwa lengo la kuiondoa CCM madarakani, lakini NLD ilidhurumiwa kwa kuwaondoa wagombea wake wa nafasi mbalimbali za uchaguzi.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Taifa wa NLD, Mfaume Khamis Hassan, wakati akifungua mkutano huo, ameomba serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwapatia ajira za kudumu walimu wanaojitolea.

Aidha, Mwenyekiti huyo amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani ya nchi na kuepuka vyama vya siasa vinavyohamasisha uvunjifu wa amani.


Katika hatua nyingine, Mfaume amempongeza Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akimtakia kila la kheri katika safari yake hiyo.

Source: Nipashe


Matapeli safari hii wamejipanga kukomba hela ya CCM na Samia. Wametambua kuwa ukitoa tu kauli ya kuunga mkono ubaradhuli wa CCM kwenye uchaguzi, ukatoa kauli dhidi ya CHADEMA au Lisu, lazima tumbo lijae. Vile vyama vingine vya kutafuta pesa ya tumbo, navyo vitakuwa vinahangaika kutafuta kauli ya kutoa ili matumbo yajae. Ni mwaka wa kujaza matumbo kwa wachumia matumbo.
 
Hawajamaa wana akili nyingi kushinda kamati kuu ya chadema

Taahira, punguani na vichaa wote wakikutana, kwa sababu ya kukosa akili, wakikutana huwa wanaona wao ndiyo wenye akili na nguvu kuliko wote walio wazima. Ndiyo maana unaweza kumwona kichaa amesimama katikati ya barabara, magari yakimkwepa, yeye anaamini ni kwa sababu ana nguvu kuliko magari yote.

Punguani vichaa kupongezana, umefanya iliyo kawaida.
 
Hiki ni miongoni mwa Vyama Mamluki vilivyoundwa na Watawala kwa ajili ya kuendesha Ghiriba za kisiasa hapa Tanzania.

Vyama vya namna hii vipo vingi Sana kwenye nchi zenye tawala za kikomunisti/Ujamaa Kama vile nchini Urusi, Belarus au Venezuela. Hili ni jambo la kawaida kwa Watawala Wakomunisti.
Vinaongeza tu utitiri wa vyama visivyo na maana Kwa wananchi, vinarudisha nyuma harakati za upinzani nchini
 
Back
Top Bottom