Chalamila hoyeee. Namuona ITV malumbano ya hoja anashusha nondo

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
11,466
3,637
Tangu mwaka kuanza nadhani hiki ni kipindi cha kwanza bora itv kuhusiana na kuendesha biashara Kariakoo kwa saa 24.

Chalamila leo katulia. Anajenga hoja. Inaonekana alijiandaa ilivyo kwa kipindi hiki. Sio yule Chalamila mropokaji na mbwatukaji. Amekua kiasi.

Namsikia akiongea kwa data na takwimu. Kila anachosema anakiongea kwa takwimu. Sio umeme, sio usafiri, sio biashara. Wakati anaongea ikanijia picha ya Magufuli.

Akiendelea hivi atafika mbali. Imani yangu sio nguvu za "energy"
IMG_20250213_223419.jpg
 
Tangu mwaka kuanza nadhani hiki ni kipindi cha kwanza bora itv kuhusiana na kuendesha biashara Kariakoo kwa saa 24.

Chalamila leo katulia. Anajenga hoja. Inaonekana alijiandaa ilivyo kwa kipindi hiki. Sio yule Chalamila mropokaji na mbwatukaji. Amekua kiasi.

Namsikia akiongea kwa data na takwimu. Kila anachosema anakiongea kwa takwimu. Sio umeme, sio usafiri, sio biashara. Wakati anaongea ikanijia picha ya Magufuli.

Akiendelea hivi atafika mbali. Imani yangu sio nguvu za "energy"
View attachment 3235823
Kipindi cha kumjenga..
Una wajua wahriri wewe?!
 
Namsikia akiongea kwa data na takwimu. Kila anachosema anakiongea kwa takwimu. Sio umeme, sio usafiri, sio biashara. Wakati anaongea ikanijia picha ya Magufuli.
Usimlinganishe hata kwa unywele na Magufuli
 
Kwa siasa za bongo usikute mchezo ushasukwa hapo kumpa mtu political mileage. Maswali yashaandaliwa na majibu yashaandaliwa kwaiyo ni kàma sinema tu.
 
Back
Top Bottom