Chadema waacheni Watanzania wataamka wenyewe kujipambania

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
10,288
23,366
Huwa nawaonea huruma kuwapigania Watanzania wapumbavu hii ni sadaka kubwa wanajitoa chadema

Nina uhakika mtoto wa Lissu haki chini
Mke wa Lema hakosi matibabi ya kujifungua
Heche hakosi maji ya kunywa

Wananchi wana matatizo makubwa wanaowapigania wanawaona kama wajinga

Shule hakuna madawati
Miji na vijijini hakuna maji
Hospital hazina madawa
Vijana hawana ajira
Mishahara duni ya watumishi
Umeme shida
Tozo nyingi
Miundo mbinu mibovu ya barabara, reli na madaraja
ATCL imekufa
Bandari imeuzwa
Masai hawana makazi Ngorongoro
Dar mwendo kasi imekufa
Ziwa victoria halina meli
Deni la Taifa limefika trillion 97.35

Wananchi wakifikwa na magumu na wakakosa Lissu wa kuwapigania wataamka na upumbavu wao waingie madarakani kuiwajibisha serikali
 
Huwa nawaonea huruma kuwapigania Watanzania wapumbavu hii ni sadaka kubwa wanajitoa chadema

Nina uhakika mtoto wa Lissu haki chini
Mke wa Lema hakosi matibabi ya kujifungua
Heche hakosi maji ya kunywa

Wananchi wana matatizo makubwa wanaowapigania wanawaona kama wajinga

Shule hakuna madawati
Miji na vijijini hakuna maji
Hospital hazina madawa
Vijana hawana ajira
Mishahara duni ya watumishi
Umeme shida
Tozo nyingi
Miundo mbinu mibovu ya barabara, reli na madaraja
ATCL imekufa
Bandari imeuzwa
Masai hawana makazi Ngorongoro
Dar mwendo kasi imekufa
Ziwa victoria halina meli
Deni la Taifa limefika trillion 97.35

Wananchi wakifikwa na magumu na wakakosa Lissu wa kuwapigania wataamka na upumbavu wao waingie madarakani kuiwajibisha serikali
We pumbavu sana, shule gani hakuna madawati? Vijiji vingapi havina huo umeme na maji? Hospitali ngapi na za mkoa gani hazina dawa? Wapi ambapo miundombinu yake haifikiki ukiachilia maswala ya majanga asili kama mafuriko? Masai wangapi hawana makazi?? Acha upuuzi wa kuja vitakwimu vyako vya kubumba kunogesha ka uzi kako ka kijinga!!
 
We pumbavu sana, shule gani hakuna madawati? Vijiji vingapi havina huo umeme na maji? Hospitali ngapi na za mkoa gani hazina dawa? Wapi ambapo miundombinu yake haifikiki ukiachilia maswala ya majanga asili kama mafuriko? Masai wangapi hawana makazi?? Acha upuuzi wa kuja vitakwimu vyako vya kubumba kunogesha ka uzi kako ka kijinga!!
Huyu ana frustration ya kuwa jobless.Naye anajifanya mwanasiasa. Alete takwimu ya kulinganisha Nchi hii hata miaka 15 iliyopita na hatua zilizopigwa.Anafuata mkumbo nae aonekane wa maana.
 
Huyu ana frustration ya kuwa jobless.Naye anajifanya mwanasiasa. Alete takwimu ya kulinganisha Nchi hii hata miaka 15 iliyopita na hatua zilizopigwa.Anafuata mkumbo nae aonekane wa maana.
Mafuasi ya Lissu yanapelekwa pelekwa na story za vijiweni tu , hawajui hata wanataka nini, ni kama manyumbu fulani hivi!!
 
We pumbavu sana, shule gani hakuna madawati? Vijiji vingapi havina huo umeme na maji? Hospitali ngapi na za mkoa gani hazina dawa? Wapi ambapo miundombinu yake haifikiki ukiachilia maswala ya majanga asili kama mafuriko? Masai wangapi hawana makazi?? Acha upuuzi wa kuja vitakwimu vyako vya kubumba kunogesha ka uzi kako ka kijinga!!
Nimekudharau
Yaani huamini Tanzania hii Kuna shule hazina madawati
Huamini Kuna hospital hazina madawa
Huoni vijiji hakuna maji
Huoni vijana hawana ajira

Hivi nyie mafisi mpo timamu kichwani kweli?
 
Huyu ana frustration ya kuwa jobless.Naye anajifanya mwanasiasa. Alete takwimu ya kulinganisha Nchi hii hata miaka 15 iliyopita na hatua zilizopigwa.Anafuata mkumbo nae aonekane wa maana.
Me sio jobless bwana mdogo Nina shughuli zangu halali hata siwezi kuajiriwa Kwa kazi yoyote
Njoo nikupe kibarua shambani kwangu Ngara kipindi hiki ni palizi, acha kuwa chawa na kufurahia ugumu wa maisha wa Watanganyika wenzako,
Makukonyo
 
Huwa nawaonea huruma kuwapigania Watanzania wapumbavu hii ni sadaka kubwa wanajitoa chadema

Nina uhakika mtoto wa Lissu haki chini
Mke wa Lema hakosi matibabi ya kujifungua
Heche hakosi maji ya kunywa

Wananchi wana matatizo makubwa wanaowapigania wanawaona kama wajinga

Shule hakuna madawati
Miji na vijijini hakuna maji
Hospital hazina madawa
Vijana hawana ajira
Mishahara duni ya watumishi
Umeme shida
Tozo nyingi
Miundo mbinu mibovu ya barabara, reli na madaraja
ATCL imekufa
Bandari imeuzwa
Masai hawana makazi Ngorongoro
Dar mwendo kasi imekufa
Ziwa victoria halina meli
Deni la Taifa limefika trillion 97.35

Wananchi wakifikwa na magumu na wakakosa Lissu wa kuwapigania wataamka na upumbavu wao waingie madarakani kuiwajibisha serikali
Simba na yanga zife zimewa pumbaza sana watanzania...
 
We pumbavu sana, shule gani hakuna madawati? Vijiji vingapi havina huo umeme na maji? Hospitali ngapi na za mkoa gani hazina dawa? Wapi ambapo miundombinu yake haifikiki ukiachilia maswala ya majanga asili kama mafuriko? Masai wangapi hawana makazi?? Acha upuuzi wa kuja vitakwimu vyako vya kubumba kunogesha ka uzi kako ka kijinga!!
Sasa kati ya wewe na mtoa mada nani mpuuzii?
 
Back
Top Bottom