Pre GE2025 CHADEMA njooni na hoja zinazomtoa nyoka pangoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
14,095
14,627
Kuna vitu vizuri na vibaya ambavyo watanzania wanavijua kuhusu CCM, Serikali, viongizi na Katiba yao, lakini wananchi bado wanaona kuwa mazuri bado ni mengi kukiko mabaya yao.

Ndio maana bado watu wanavaa mashati ya kijani mitaani bila hofu. Watanzania pia wanafahamu mazuri na mabaya ya vyama na viongozi wa upinzani lakini bado wanaona mabaya yao ni mengi kuliko mazuri, ndio maana mitaani kuko shwari hata kama viongozi wa upinzani wakikutana na masahibu gani ya kisiasa.

Na hii inatokana na viongozi wa upizani kuwa na tabia ya kuorodhesha matatizo tu bila kusema wao watafanya nini kuyaboresha katika mazingira kama haya ya dunia ilivyo. Kuna wakati wapinzani wanarudi CCM kila wakinyimana maslahi kuonyesha kuwa dhamira zao ni maslahi yao tu sio shida za wananchi orodha ya wapinzani waliorejea CCM ni ndefu sana na inayokatisha tamaa wananchi kuviamini vyama hivi kama vyama kimbilio kwao.

Kama utadhani kuwa hakuna watu wameichoka CCM utakuwa unakosea tena sana. Inafahamika kuwa ccm imekusanya watoto wanaccm wa zamani na sasa kuwapa zawadi na fadhila za kutuongoza hata kama wengine hawana uwezo wa kuongoza. Lakini hawaoni nani wa kumpa uongozi mbadala wa ccm bado.

Kuna kiongozi wa upinzani unasema naaam huyu ni madhubuti, lakini mara utasikia ameenda au amerudi ccm.
 
Kuna vitu vizuri na vibaya ambavyo watanzania wanavijua kuhusu CCM, Serikali, viongizi na Katiba yao, lakini wananchi bado wanaona kuwa mazuri bado ni mengi kukiko mabaya yao. Ndio maana bado watu wanavaa mashati ya kijani mitaani bila hofu. Watanzania pia wanafahamu mazuri na mabaya ya vyama na viongozi wa upinzani lakini bado wanaona mabaya yao ni mengi kuliko mazuri, ndio maana mitaani kuko shwari hata kama viongozi wa upinzani wakikutana na masahibu gani ya kisiasa. Na hii inatokana na viongozi wa upizani kuwa na tabia ya kuorodhesha matatizo tu bila kusema wao watafanya nini kuyaboresha katika mazingira kama haya ya dunia ilivyo. Kuna wakati wapinzani wanarudi CCM kila wakinyimana maslahi kuonyesha kuwa dhamira zao ni maslahi yao tu sio shida za wananchi。orodha ya wapinzani waliorejea CCM ni ndefu sana na inayokatisha tamaa wananchi kuviamini vyama hivi kama vyama kimbilio kwao.

Kama utadhani kuwa hakuna watu wameichoka CCM utakuwa unakosea tena sana. Inafahamika kuwa ccm imekusanya watoto wanaccm wa zamani na sasa kuwapa zawadi na fadhila za kutuongoza hata kama wengine hawana uwezo wa kuongoza. Lakini hawaoni nani wa kumpa uongozi mbadala wa ccm bado. Kuna kiongozi wa upinzani unasema naaam huyu ni madhubuti, lakini mara utasikia ameenda au amerudi ccm.
Hoja kuu ya kuibadilisha kweli Tanzania ni Katiba Mpya na Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi ili tupate Viongozi wanaowajibikwa kweli kwa Wananchi kws ajili ya Maendeleo yao ya Kweli.

Na hii ndo hoja ya Chadema.
 
Zanzibar Wana tumehuru lakini ni vilio kila uchaguzi! Marekani Wana katiba Bora ajabu Kuna mwaka Trump alilalamika ameibiwa kura,Kenya Wana katiba Bora sana lakini kila mwaka wako barabarani
 
Kuna vitu vizuri na vibaya ambavyo watanzania wanavijua kuhusu CCM, Serikali, viongizi na Katiba yao, lakini wananchi bado wanaona kuwa mazuri bado ni mengi kukiko mabaya yao. Ndio maana bado watu wanavaa mashati ya kijani mitaani bila hofu. Watanzania pia wanafahamu mazuri na mabaya ya vyama na viongozi wa upinzani lakini bado wanaona mabaya yao ni mengi kuliko mazuri, ndio maana mitaani kuko shwari hata kama viongozi wa upinzani wakikutana na masahibu gani ya kisiasa. Na hii inatokana na viongozi wa upizani kuwa na tabia ya kuorodhesha matatizo tu bila kusema wao watafanya nini kuyaboresha katika mazingira kama haya ya dunia ilivyo. Kuna wakati wapinzani wanarudi CCM kila wakinyimana maslahi kuonyesha kuwa dhamira zao ni maslahi yao tu sio shida za wananchi。orodha ya wapinzani waliorejea CCM ni ndefu sana na inayokatisha tamaa wananchi kuviamini vyama hivi kama vyama kimbilio kwao.

Kama utadhani kuwa hakuna watu wameichoka CCM utakuwa unakosea tena sana. Inafahamika kuwa ccm imekusanya watoto wanaccm wa zamani na sasa kuwapa zawadi na fadhila za kutuongoza hata kama wengine hawana uwezo wa kuongoza. Lakini hawaoni nani wa kumpa uongozi mbadala wa ccm bado. Kuna kiongozi wa upinzani unasema naaam huyu ni madhubuti, lakini mara utasikia ameenda au amerudi ccm.
Huu uzi ulitakiaa uwe na paragraphs/aya kama nne.
 
Zanzibar Wana tumehuru lakini ni vilio kila uchaguzi! Marekani Wana katiba Bora ajabu Kuna mwaka Trump alilalamika ameibiwa kura,Kenya Wana katiba Bora sana lakini kila mwaka wako barabarani


Sisi hapa kwetu ni zaidi ya hayo

Mtu anakatwa Jina lake just because ajaweka koma, au nucta.

Uchaguzi wa hapa una mambo mengi ambayo kama yakishughulikiwa then ccm atoboi
 
Sahihi, sijui kwa nini CCM inajitamba kukubalika ila inaona watu wanaodai tume huru na katiba mpya kama wanyang'anyi wa madaraka/dola yao!
Ukweli wanaujua,kua watu wengi wameshajua mapungufu yaliyopo,naxwanataka mabadiliko,huko kusema CCM wanakubakika ni uongo tu,ndomaana hawakubali TUME HURU au KATIBA YA WANANCHI.
 
Kuna vitu vizuri na vibaya ambavyo watanzania wanavijua kuhusu CCM, Serikali, viongizi na Katiba yao, lakini wananchi bado wanaona kuwa mazuri bado ni mengi kukiko mabaya yao. Ndio maana bado watu wanavaa mashati ya kijani mitaani bila hofu. Watanzania pia wanafahamu mazuri na mabaya ya vyama na viongozi wa upinzani lakini bado wanaona mabaya yao ni mengi kuliko mazuri, ndio maana mitaani kuko shwari hata kama viongozi wa upinzani wakikutana na masahibu gani ya kisiasa. Na hii inatokana na viongozi wa upizani kuwa na tabia ya kuorodhesha matatizo tu bila kusema wao watafanya nini kuyaboresha katika mazingira kama haya ya dunia ilivyo. Kuna wakati wapinzani wanarudi CCM kila wakinyimana maslahi kuonyesha kuwa dhamira zao ni maslahi yao tu sio shida za wananchi。orodha ya wapinzani waliorejea CCM ni ndefu sana na inayokatisha tamaa wananchi kuviamini vyama hivi kama vyama kimbilio kwao.

Kama utadhani kuwa hakuna watu wameichoka CCM utakuwa unakosea tena sana. Inafahamika kuwa ccm imekusanya watoto wanaccm wa zamani na sasa kuwapa zawadi na fadhila za kutuongoza hata kama wengine hawana uwezo wa kuongoza. Lakini hawaoni nani wa kumpa uongozi mbadala wa ccm bado. Kuna kiongozi wa upinzani unasema naaam huyu ni madhubuti, lakini mara utasikia ameenda au amerudi ccm.
Ukifanyika uchaguzi huru na CCM ikashinda basi utakuwa na haki ya kusema ulivyosema. Vinginevyo, unapoteza muda tu. Tuchukuwe mfano 1. Kwa miaka mitano vyama vya upinzani vilipigwa marufuku kufanya mikutano 2. Samia tangu awe rais alianza kampeni rasmi 3. Kila instituation na mihimili yote imetekwa na CCM 4. Dola inaisaidia CCM. Lakini bado CCM wanaogopa na wanawazushia kesi za uongo wapinzani na wanaogopa kufanya uchaguzi huru. Hapa utasemaje kuwa CCM inapendwa?
 
Shida ya ccm kukataa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, hili linafuta mazuri yote waliyoyafanya
Madirisha yanawekwa kwaajili ya kupitisha hewa na mwanga chumbani lakini kuna muda yanafungwa ili kuzuia inzi. nyuki, nge, mavumbi, nyoka, harufu mbaya na wezi kuingia ndani. Hebu tujiulize wote. Je huu ni muda sahihi wq kufungua madirisha ili Lissu kuwa Rais wa Tanzania? Je huu ni muda ambao Lema, sugu, heche kuwa waziri mkuu wa tanzania?
 
Ili hao ambao wanasema wanaitaka CCM wadhihirike na wanaotaka upinzani wadhihirike pia,iwekwe TUME HURU na KATIBA YA WANANCHI,tumalize hii hali.
Tume huru inaweza isiwe wakati wake sasa hivi. China hawana tume Huru, Libya walitaka tume huru wakapewa, Kenya walitaka tume huru wakapewa lakini hatuoni cha maana wanachopata kutuzidi sisi, sudan wanataka tume huru, somalia pia hivyohivyo walichoka kuwa chini ya wababe wa koo. Sio kwamba watoto wanapenda shule lakini tunawalazimisha waende shule kwa faida zao.
 
Hoja kuu ya kuibadilisha kweli Tanzania ni Katiba Mpya na Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi ili tupate Viongozi wanaowajibikwa kweli kwa Wananchi kws ajili ya Maendeleo yao ya Kweli.

Na hii ndo hoja ya Chadema.
Hata Nyerere wakati anadai uhuru alituambia maneno kama hayo, kuwa tukijitawala maendeleo yetu yatapaa kwa speed ya sauti. Leo hii wako watu wanaosema ni heri ya wakoloni kuliko CCM. Kaka ni kweli wapinzani wako tayari kuendesha nchi, hatutajuta kama wengine waliojuta? Nionyeshe nchi ya afrika ambayo wapinzani wameleta mageuzi makubwa kuliko vyama vilivyoangushwa.
 
Kuna vitu vizuri na vibaya ambavyo watanzania wanavijua kuhusu CCM, Serikali, viongizi na Katiba yao, lakini wananchi bado wanaona kuwa mazuri bado ni mengi kukiko mabaya yao. Ndio maana bado watu wanavaa mashati ya kijani mitaani bila hofu. Watanzania pia wanafahamu mazuri na mabaya ya vyama na viongozi wa upinzani lakini bado wanaona mabaya yao ni mengi kuliko mazuri, ndio maana mitaani kuko shwari hata kama viongozi wa upinzani wakikutana na masahibu gani ya kisiasa. Na hii inatokana na viongozi wa upizani kuwa na tabia ya kuorodhesha matatizo tu bila kusema wao watafanya nini kuyaboresha katika mazingira kama haya ya dunia ilivyo. Kuna wakati wapinzani wanarudi CCM kila wakinyimana maslahi kuonyesha kuwa dhamira zao ni maslahi yao tu sio shida za wananchi。orodha ya wapinzani waliorejea CCM ni ndefu sana na inayokatisha tamaa wananchi kuviamini vyama hivi kama vyama kimbilio kwao.

Kama utadhani kuwa hakuna watu wameichoka CCM utakuwa unakosea tena sana. Inafahamika kuwa ccm imekusanya watoto wanaccm wa zamani na sasa kuwapa zawadi na fadhila za kutuongoza hata kama wengine hawana uwezo wa kuongoza. Lakini hawaoni nani wa kumpa uongozi mbadala wa ccm bado. Kuna kiongozi wa upinzani unasema naaam huyu ni madhubuti, lakini mara utasikia ameenda au amerudi ccm.
hawana hoja ispokua kuomba pesa za pocket money na matumizi ya whisky na nyama choma kwa viongozi wa kitaifa 🐒
 
Hata Nyerere wakati anadai uhuru alituambia maneno kama hayo, kuwa tukijitawala maendeleo yetu yatapaa kwa speed ya sauti. Leo hii wako watu wanaosema ni heri ya wakoloni kuliko CCM. Kaka ni kweli wapinzani wako tayari kuendesha nchi, hatutajuta kama wengine waliojuta? Nionyeshe nchi ya afrika ambayo wapinzani wameleta mageuzi makubwa kuliko vyama vilivyoangushwa.
Kwani Nyerere ni Chadema? Nyerere si alikuwa CCM? Utawafananishaje Chadema na Nyerere?
 
Zanzibar Wana tumehuru lakini ni vilio kila uchaguzi! Marekani Wana katiba Bora ajabu Kuna mwaka Trump alilalamika ameibiwa kura,Kenya Wana katiba Bora sana lakini kila mwaka wako barabarani
Tujifunzeni kutoka kwa wenzetu. Mimi siamini kama kufa kwaajili ya kudai Tume huru ni sawa hasa kwa wakati huu ambao hata Ulaya na Marekani wapinzani wanahenya. Kule ufaransa mpinzani Le Pen anahenyq. Marekani Trump chupuchupu afe. Uturuki hivyohivyo. Lazima tuwe na uhakika wq kile tunachokitaka kama taifa. Mimi hapa binafsi sikubaliani na namna teuzi zinavyofanyika hasa kuwakusanya ndugu na marafiki wa viongizi kwenda serikalini, ukiniambia niandamane kwa hilo nitakubali lakini sioni kwanini tume iwe porous sana kuruhusu hata walanguzi kufika Ikulu. Mtu kama Ruto hakupaswa kwwnda Ikulu ya kenya naana hana jipya kwa wakenya.
 
Back
Top Bottom