CHADEMA na CCM wameamua kumpuuza Msigwa?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
6,717
14,438
Amekosa mvuto. Amekuwa si riziki kabisa. Hata ndani ya Chama hapati heshima yoyote. Wameona hana impact pamoja na kujaribu kumjenga ila wanaonga hajengeki.

Chadema. Wameshamsahau. Mi ningekuwa ni mshauri wa Msigwa ningemshauri agombee nafasi Chadema. Ashinde kisha akishinda ajiuzulu ahamie CCM.

Lakini hii ya kushindwa uchaguzi kisha anahamia CCM imeonesha anapenda vyeo. Wakati anagombea hakuona hayo anayoyasema sasa mtaani? Amepoteza mvuto hata CCM wenye akili wameshamwona kuwa hana mvuto wamepata hasara tu.

Imesikitisha sana. Na inaudhi akina Mbowe hawamjibu wamenyamaza tu anabishana na madogo tu ambao hawana impact. CCM wanasema hana issue, amejawa tu na hasira. Na ameanza kulalamika kuwa pesa alizopewa ni ndogo. Wakati CCM wanaona wamempa nyingi kuliko anavyostahili.

Baada ya mwezi atakuwa anashinda corridor za Lumumba na Lucas Mwamshamba wanatafuta machawa wa kuwa sponsor. Wanasema kwa sasa Msigwa hata kwa rais hana thamani. Labda akawe chawa wa Kafulila au Nape.
 
Amekosa mvuto. Amekuwa si riziki kabisa. Hata ndani ya Chama hapati heshima yoyote. Wameona hana impact pamoja na kujaribu kumjenga ila wanaonga hajengeki.

Chadema. Wameshamsahau. Mi ningekuwa ni mshauri wa Msigwa ningemshauri agombee nafasi Chadema. Ashinde kisha akishinda ajiuzulu ahamie CCM.

Lakini hii ya kushindwa uchaguzi kisha anahamia CCM imeonesha anapenda vyeo. Wakati anagombea hakuona hayo anayoyasema sasa mtaani? Amepoteza mvuto hata CCM wenye akili wameshamwona kuwa hana mvuto wamepata hasara tu.

Imesikitisha sana. Na inaudhi akina Mbowe hawamjibu wamenyamaza tu anabishana na madogo tu ambao hawana impact. CCM wanasema hana issue, amejawa tu na hasira. Na ameanza kulalamika kuwa pesa alizopewa ni ndogo. Wakati CCM wanaona wamempa nyingi kuliko anavyostahili.

Baada ya mwezi atakuwa anashinda corridor za Lumumba na Lucas Mwamshamba wanatafuta machawa wa kuwa sponsor. Wanasema kwa sasa Msigwa hata kwa rais hana thamani. Labda akawe chawa wa Kafulila au Nape.
Na sasa ndiyo anafanya watu wafupi wadharaulike kabisa
 
Amekosa mvuto. Amekuwa si riziki kabisa. Hata ndani ya Chama hapati heshima yoyote. Wameona hana impact pamoja na kujaribu kumjenga ila wanaonga hajengeki.

Chadema. Wameshamsahau. Mi ningekuwa ni mshauri wa Msigwa ningemshauri agombee nafasi Chadema. Ashinde kisha akishinda ajiuzulu ahamie CCM.

Lakini hii ya kushindwa uchaguzi kisha anahamia CCM imeonesha anapenda vyeo. Wakati anagombea hakuona hayo anayoyasema sasa mtaani? Amepoteza mvuto hata CCM wenye akili wameshamwona kuwa hana mvuto wamepata hasara tu.

Imesikitisha sana. Na inaudhi akina Mbowe hawamjibu wamenyamaza tu anabishana na madogo tu ambao hawana impact. CCM wanasema hana issue, amejawa tu na hasira. Na ameanza kulalamika kuwa pesa alizopewa ni ndogo. Wakati CCM wanaona wamempa nyingi kuliko anavyostahili.

Baada ya mwezi atakuwa anashinda corridor za Lumumba na Lucas Mwamshamba wanatafuta machawa wa kuwa sponsor. Wanasema kwa sasa Msigwa hata kwa rais hana thamani. Labda akawe chawa wa Kafulila au Nape.
Msigwa ni Mchungaji ametenda dhambi anayoijua

Mungu atamnyosha asipotubu.
 
Amekosa mvuto. Amekuwa si riziki kabisa. Hata ndani ya Chama hapati heshima yoyote. Wameona hana impact pamoja na kujaribu kumjenga ila wanaonga hajengeki.

Chadema. Wameshamsahau. Mi ningekuwa ni mshauri wa Msigwa ningemshauri agombee nafasi Chadema. Ashinde kisha akishinda ajiuzulu ahamie CCM.

Lakini hii ya kushindwa uchaguzi kisha anahamia CCM imeonesha anapenda vyeo. Wakati anagombea hakuona hayo anayoyasema sasa mtaani? Amepoteza mvuto hata CCM wenye akili wameshamwona kuwa hana mvuto wamepata hasara tu.

Imesikitisha sana. Na inaudhi akina Mbowe hawamjibu wamenyamaza tu anabishana na madogo tu ambao hawana impact. CCM wanasema hana issue, amejawa tu na hasira. Na ameanza kulalamika kuwa pesa alizopewa ni ndogo. Wakati CCM wanaona wamempa nyingi kuliko anavyostahili.

Baada ya mwezi atakuwa anashinda corridor za Lumumba na Lucas Mwamshamba wanatafuta machawa wa kuwa sponsor. Wanasema kwa sasa Msigwa hata kwa rais hana thamani. Labda akawe chawa wa Kafulila au Nape.
Bahati nzuri wananchi wamempuuza hata hawana habari naye
 
Amekosa mvuto. Amekuwa si riziki kabisa. Hata ndani ya Chama hapati heshima yoyote. Wameona hana impact pamoja na kujaribu kumjenga ila wanaonga hajengeki.

Chadema. Wameshamsahau. Mi ningekuwa ni mshauri wa Msigwa ningemshauri agombee nafasi Chadema. Ashinde kisha akishinda ajiuzulu ahamie CCM.

Lakini hii ya kushindwa uchaguzi kisha anahamia CCM imeonesha anapenda vyeo. Wakati anagombea hakuona hayo anayoyasema sasa mtaani? Amepoteza mvuto hata CCM wenye akili wameshamwona kuwa hana mvuto wamepata hasara tu.

Imesikitisha sana. Na inaudhi akina Mbowe hawamjibu wamenyamaza tu anabishana na madogo tu ambao hawana impact. CCM wanasema hana issue, amejawa tu na hasira. Na ameanza kulalamika kuwa pesa alizopewa ni ndogo. Wakati CCM wanaona wamempa nyingi kuliko anavyostahili.

Baada ya mwezi atakuwa anashinda corridor za Lumumba na Lucas Mwamshamba wanatafuta machawa wa kuwa sponsor. Wanasema kwa sasa Msigwa hata kwa rais hana thamani. Labda akawe chawa wa Kafulila au Nape.
Mda c mrefu utasikia anakula na nguruwe kama mwanampotevu
 
Amekosa mvuto. Amekuwa si riziki kabisa. Hata ndani ya Chama hapati heshima yoyote. Wameona hana impact pamoja na kujaribu kumjenga ila wanaonga hajengeki.

Chadema. Wameshamsahau. Mi ningekuwa ni mshauri wa Msigwa ningemshauri agombee nafasi Chadema. Ashinde kisha akishinda ajiuzulu ahamie CCM.

Lakini hii ya kushindwa uchaguzi kisha anahamia CCM imeonesha anapenda vyeo. Wakati anagombea hakuona hayo anayoyasema sasa mtaani? Amepoteza mvuto hata CCM wenye akili wameshamwona kuwa hana mvuto wamepata hasara tu.

Imesikitisha sana. Na inaudhi akina Mbowe hawamjibu wamenyamaza tu anabishana na madogo tu ambao hawana impact. CCM wanasema hana issue, amejawa tu na hasira. Na ameanza kulalamika kuwa pesa alizopewa ni ndogo. Wakati CCM wanaona wamempa nyingi kuliko anavyostahili.

Baada ya mwezi atakuwa anashinda corridor za Lumumba na Lucas Mwamshamba wanatafuta machawa wa kuwa sponsor. Wanasema kwa sasa Msigwa hata kwa rais hana thamani. Labda akawe chawa wa Kafulila au Nape.
Msigwa alishinda uchaguzi dhidi ya Sugu,sema hakuwa chaguo la mfalme Mbowe ambaye ndie anapanga safu yake,hivyo hakuondoka chadema kwa kupenda bali kwa kuudhiwa
 
Back
Top Bottom