eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,384
Sio kwamba navidharau hivi vyama vingine ila wasipojitathimini, wakaamua kujiunga na moja wapo wa hivyo vyama viwili vikubwa.
Tanzania kwa sasa, wataishia kuzunguka hapo hapo mambo yajayo kisiasa yanaonyesha hivi ndio vyama vitakavyokuwa vikipokezana utawala katika taifa hili la Tanzania.
Kwa hiyo niviombe vyama hivi vidogo dogo Tanzania kwa sasa vifanye machaguo wapi na kwa nini ili vijiunge na moja wapo wa vyama hivi vikubwa Tanzania kwa sasa Chadema na CCM.
Tanzania kwa sasa, wataishia kuzunguka hapo hapo mambo yajayo kisiasa yanaonyesha hivi ndio vyama vitakavyokuwa vikipokezana utawala katika taifa hili la Tanzania.
Kwa hiyo niviombe vyama hivi vidogo dogo Tanzania kwa sasa vifanye machaguo wapi na kwa nini ili vijiunge na moja wapo wa vyama hivi vikubwa Tanzania kwa sasa Chadema na CCM.