Pre GE2025 CHADEMA Mwanza: Ni vyema Mbowe apumzike kwa heshima, amuachie nafasi Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,717
4,458
Wakuu,

Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi

==========================================================

Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Freeman Mbowe kutokugombea tena nafasi hiyo na badala yake kuwapisha wanachama wengine.

Wajumbe hao wakizungumza mbele ya wanahabari wametangaza wazi kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu aliyetangaza nia ya kugombea uenyekiti taifa hivi karibuni, na kueleza kuwa Mbowe anapaswa kupumzika kwa heshima baada ya kukiongoza chama kwa muda mrefu.

Aidha, wamemkana Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo aliyeungana na viongozi wengine kwenda
kumshinikiza Freeman Mbowe kugombea wakidai kuwa wao hawakumtuma na wala hawamuungi mkono.

 
Wakuu,

Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi

==========================================================

Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Freeman Mbowe kutokugombea tena nafasi hiyo na badala yake kuwapisha wanachama wengine.

Wajumbe hao wakizungumza mbele ya wanahabari wametangaza wazi kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu aliyetangaza nia ya kugombea uenyekiti taifa hivi karibuni, na kueleza kuwa Mbowe anapaswa kupumzika kwa heshima baada ya kukiongoza chama kwa muda mrefu.

Aidha, wamemkana Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo aliyeungana na viongozi wengine kwenda
kumshinikiza Freeman Mbowe kugombea wakidai kuwa wao hawakumtuma na wala hawamuungi mkono.

View attachment 3181455
Yale mapumbavu ya ccm yaende kunywa sumu yafe sasa.
 
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Mbowe jitafakari Sana, nafikiri unafahamu vyema nguvu kubwa iliyopo kanda ya ziwa. Kazi kwako
 
Wakuu,

Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi

==========================================================

Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Freeman Mbowe kutokugombea tena nafasi hiyo na badala yake kuwapisha wanachama wengine.

Wajumbe hao wakizungumza mbele ya wanahabari wametangaza wazi kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu aliyetangaza nia ya kugombea uenyekiti taifa hivi karibuni, na kueleza kuwa Mbowe anapaswa kupumzika kwa heshima baada ya kukiongoza chama kwa muda mrefu.

Aidha, wamemkana Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo aliyeungana na viongozi wengine kwenda
kumshinikiza Freeman Mbowe kugombea wakidai kuwa wao hawakumtuma na wala hawamuungi mkono.

View attachment 3181455
Hayo ni maoni ya mtu binafsi
 
Wakuu,

Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi

==========================================================

Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Freeman Mbowe kutokugombea tena nafasi hiyo na badala yake kuwapisha wanachama wengine.

Wajumbe hao wakizungumza mbele ya wanahabari wametangaza wazi kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu aliyetangaza nia ya kugombea uenyekiti taifa hivi karibuni, na kueleza kuwa Mbowe anapaswa kupumzika kwa heshima baada ya kukiongoza chama kwa muda mrefu.

Aidha, wamemkana Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo aliyeungana na viongozi wengine kwenda
kumshinikiza Freeman Mbowe kugombea wakidai kuwa wao hawakumtuma na wala hawamuungi mkono.

View attachment 3181455
Duuuh Mbowe akapumzike tu hali yake sio nzuri
 
Wakuu,

Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi

==========================================================

Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Freeman Mbowe kutokugombea tena nafasi hiyo na badala yake kuwapisha wanachama wengine.

Wajumbe hao wakizungumza mbele ya wanahabari wametangaza wazi kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu aliyetangaza nia ya kugombea uenyekiti taifa hivi karibuni, na kueleza kuwa Mbowe anapaswa kupumzika kwa heshima baada ya kukiongoza chama kwa muda mrefu.

Aidha, wamemkana Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo aliyeungana na viongozi wengine kwenda
kumshinikiza Freeman Mbowe kugombea wakidai kuwa wao hawakumtuma na wala hawamuungi mkono.

View attachment 3181455
Jamaa Lissu ni noma
 
Wakuu,

Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi

==========================================================

Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Freeman Mbowe kutokugombea tena nafasi hiyo na badala yake kuwapisha wanachama wengine.

Wajumbe hao wakizungumza mbele ya wanahabari wametangaza wazi kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu aliyetangaza nia ya kugombea uenyekiti taifa hivi karibuni, na kueleza kuwa Mbowe anapaswa kupumzika kwa heshima baada ya kukiongoza chama kwa muda mrefu.

Aidha, wamemkana Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo aliyeungana na viongozi wengine kwenda
kumshinikiza Freeman Mbowe kugombea wakidai kuwa wao hawakumtuma na wala hawamuungi mkono.

View attachment 3181455
Majority si wapiga kura ni watu wa kuokotwa okotwa.Juzi mmoja kaulizwa ulijiunga chadema mwaka gani akajibu 1984 !.

Kuna clip ya Dr Slaa inazurura zurura baada ya Slaa kuongea utumbo wake wakaweka clip ya Catherine Ruge anamuunga mkono Lissu.Kumbe kuna washenzi wameiga sauti yake.
 
Mbowe kawabana kweli kweli, na bado mtasemaa tu yaani hadi msemeee.
 
Majority si wapiga kura ni watu wa kuokotwa okotwa.Juzi mmoja kaulizwa ulijiunga chadema mwaka gani akajibu 1984 !.

Kuna clip ya Dr Slaa inazurura zurura baada ya Slaa kuongea utumbo wake wakaweka clip ya Catherine Ruge anamuunga mkono Lissu.Kumbe kuna washenzi wameiga sauti yake.
Najiuliza huu mpango wa mikoa mikoa kumuunga mkono lisu nani anaupanga???

Na kwann wanataka mbowe ajitoe??! Why?!!!
 
Wakuu,

Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi

==========================================================

Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Freeman Mbowe kutokugombea tena nafasi hiyo na badala yake kuwapisha wanachama wengine.

Wajumbe hao wakizungumza mbele ya wanahabari wametangaza wazi kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu aliyetangaza nia ya kugombea uenyekiti taifa hivi karibuni, na kueleza kuwa Mbowe anapaswa kupumzika kwa heshima baada ya kukiongoza chama kwa muda mrefu.

Aidha, wamemkana Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo aliyeungana na viongozi wengine kwenda
kumshinikiza Freeman Mbowe kugombea wakidai kuwa wao hawakumtuma na wala hawamuungi mkono.

View attachment 3181455
Lissu ni balaa
 
Wakuu,

Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi

==========================================================

Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Freeman Mbowe kutokugombea tena nafasi hiyo na badala yake kuwapisha wanachama wengine.

Wajumbe hao wakizungumza mbele ya wanahabari wametangaza wazi kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Lissu aliyetangaza nia ya kugombea uenyekiti taifa hivi karibuni, na kueleza kuwa Mbowe anapaswa kupumzika kwa heshima baada ya kukiongoza chama kwa muda mrefu.

Aidha, wamemkana Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo aliyeungana na viongozi wengine kwenda
kumshinikiza Freeman Mbowe kugombea wakidai kuwa wao hawakumtuma na wala hawamuungi mkono.

View attachment 3181455
Lissu ninbalaa
 
Back
Top Bottom