CHADEMA mtumbueni Lowassa kabla hajawa kansa

SONGOKA

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
1,841
1,843
Siku chache baada ya Mh Mbowe kusema bungeni kuwa kama Lowasa anahusika na kashfa yoyote basi na aunganishe katika mashtaka,, Lowasa kaibuka na kujitangaza kwa mara ya tatu sasa kuwa ATAINGIA IKULU mwaka 2020,

Swali ni je Ni kikao kipi kilimpitisha lowasa kuwa mgombea mwaka 2020??
je huu si ule usaliti wa kujipatia madaraka tulioutumia kumtumbua zitto??
Mbona anavunja katiba na kanuni zake waziwazi??

Ushauri wa bure kwa viongozi wangu, TUMTUMBUE LOWASA kabla hajatuharibia chama, kaanza kutengeneza makundi yasiyo na tija, na kununua vijana wenye njaa kama Salum Mwalimu
tafadhari atumbuliwe bila kuangaliwa usoni, mithiri ya KITWANGA
 
Kusema nitakua rais hakuna kosa, hizo Ni ambition za mtu, km mm nilivyokuwa natamani kuja kuwa daktari.
 
Hayakuhusu.

Umejuaje kuwa hii sio political strategy?!

Ya kuwa tunaandaa SILAHA nyingine kwa siri huku tunawaonyesha SILAHA hii tuliyonayo?!

CCM msiwe vilaza kiasi hicho. CHADEMA sio wapumbavu kama mnavyofikiri.
 

Weka hiyo video tuthibitishe hatutaki uzushi, maana nilichosikia mimi kasema 2020 CDM itakamata madaraka
 
Hayakuhusu.

Umejuaje kuwa hii sio political strategy?!

Ya kuwa tunaandaa SILAHA nyingine kwa siri huku tunawaonyesha SILAHA hii tuliyonayo?!

CCM msiwe vilaza kiasi hicho. CHADEMA sio wapumbavu kama mnavyofikiri.
watu kama hawa hata ugonge kichwani kwa nyundo bado utavuna div 0. Na ungesoma kipindi hiki cha Magkfuli cha Elimu bure lazima ungefungwa kwa kusoma bure halafu upate 0.
 
Tatizo kubwa la Lowasa ni kwamba hawezi kukaa hivi hivi bila kusikika. Akikaa miezi miwili hajazua mjadala kwenye vyombo vya habari nafikiri anapata hofu kubwa sana kwamba amekwisha kisiasa.
 
Tupo wenyewe bado tunasubiri,awaachie masheikhe wa uamsho,amtoe jela babu seya,amrudishe balali bongo kama alivyotuahidi,akishindwa hivyo ndio tutamtubua kwa sasa bado tuna imani lowasa.
 
Wewe ni nani hadi uulize maswali hayo ya kipuuzi. Bakini na maulevi yenu sisi twapaa. Kama unadhani lumumba ina nafasi tena basi ujue itachaguliwa na wanywa gongo pekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…