Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,671
- 4,490
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka mkoa wa Mara wamejitokeza hadharani na kueleza msimamo wao kuwa kwenye mchakato wa kinyang'anyiro cha kutafuta viongozi wa Kitaifa wa chama hicho wao wanaenda na Tundu Lissu kwa nafasi ya Mwenyekiti na John Heche kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
Pia, Soma:
• Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA
• BAWACHA Mbeya wamuunga mkono Lissu
Pia, Soma:
• Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA
• BAWACHA Mbeya wamuunga mkono Lissu