GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,149
- 119,883
Haya baada ya Kutudanganya wana Simba SC (GENTAMYCINE nikiwemo) na Wadau wa Soka / Michezo leo katika moja ya Interview yako kuwa Bonus inayodaiwa na Wachezaji wa Simba SC ni Shilingi Milioni Ishirini tu.
CEO wa Simba SC Mimi GENTAMYCINE nakuambia tena Nikijiamini kabisa huku nikiwa na Urafiki wa Wachezaji wa Simba SC na hata wa Yanga SC kuwa Fedha Kamili ya Bonus wanayoidai Wachezaji wa Simba SC ni Shilingi Milioni Mia Nne na siyo Shilingi Milioni Ishirini kama uliyosema na Kutudanganya.
Hovyoooooo.....!!!!!!
CEO wa Simba SC Mimi GENTAMYCINE nakuambia tena Nikijiamini kabisa huku nikiwa na Urafiki wa Wachezaji wa Simba SC na hata wa Yanga SC kuwa Fedha Kamili ya Bonus wanayoidai Wachezaji wa Simba SC ni Shilingi Milioni Mia Nne na siyo Shilingi Milioni Ishirini kama uliyosema na Kutudanganya.
Hovyoooooo.....!!!!!!