CCM wanaogopa nini kumuachia Magufuli chama?

Robati

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
701
685
Ndugu,

Hivi hawa CCM wanaogopa kitu gani kumuachia chama Magufuli mapema? Kuna genge lina linda maslahi yake, ama? (Nitafafanua baadae..)
 
bora unyamze tu maana hayakuhusu,ccm kuna muda wakuachia madaraka kwa lazima makuachia madaraka kwa hiari,muda wa hiari huu sio wa lazima halazimishwi kikwete wala magufuli kuchukua kiti mwaka 2017 ndo lazima achukue kwahiyo msitake kukifundisha chama toka mwaka 1996 hamkuwahi kukipangia wamachague nani awe nani leo ndo mnajifanya mnajua sana sera ya kuachiana madaraka mbona hamuwahoji hao wapinzani inakuaje madaraka anatoka baba mkwe anapewa mkwe??
 
Ndugu,

Hivi hawa CCM wanaogopa kitu gani kumuachia chama Magufuli mapema? Kuna genge lina linda maslahi yake, ama? (Nitafafanua baadae..)

Wanamuogopa "mtoto wa bwagamoyo"
 

Muulize huyu mujamaa, ana majibu yako!
 
Ndugu,

Hivi hawa CCM wanaogopa kitu gani kumuachia chama Magufuli mapema? Kuna genge lina linda maslahi yake, ama? (Nitafafanua baadae..)
kwani wewe zombie katiba ya ccm inasemaje? kuna sehemu katiba imekiukwa?
mbona huhoji ile kadima yenu kukaa zaidi ya miezi 3 bila katibu mkuu kitu ambacho ni kinyume na katiba yao?
 
Hivi inakuwaje mtu unaamka asubuhi na kuandika pumba? Ikifika jioni sijui utaandika nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…