CCM wameuza kila kitu wawekezaji hatuoni faida yao ni mapambio tu

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,719
4,241
Kwa miaka kadhaa Mimi natafakari mambo mengi juu ya nchi yangu Tanzania

-Mkapa alibinafisisha viwanda vyote nchini je hao wawekezaji nini walichofanya
  • Mkapa alibinafisisha mgodi wa Bulyannhulu kwa mda wote wao walikuwa wanapata hasara jiulize NI mwekezaji gani anayeweza kuchimba kwa miaka yote eti kwa madai anapata hasara bila faida , madini hayo hadi Sasa hakuna faida yoyote
  • BUZWAGI hivohovo kipindi chote wanatangaza hasara
  • Ipo Mwadui Shinyanga pale kwa sasa serikali inamiliki 35 %lakin hicho NI kiini macho mwenye mgodi NI taifa gas ambaye NI ROSTAM AZIZI. Hata hivyo pamoja kuwepo madini hayo manispaa ya Shinyanga bado kuna shule hazina madawati.
  • Kwa sasa bahari MiTo mapori na maziwa siyo vya kwetu tena hadi Sasa tumepata faida gani
Ccm mnaumiza nchi na wananchi wake Mungu atawalipa. Ipo Siku watu watachoka ya Kenya yatakuja Tanzania
 
Kwa miaka kadhaa Mimi natafakari mambo mengi juu ya nchi yangu Tanzania

-Mkapa alibinafisisha viwanda vyote nchini je hao wawekezaji nini walichofany...
jitoeni mhanga kama Gen Z mkomboe nchi yenu
 
Tulifukuza wakoloni tukakaribisha wawekezaji akili matope ya kuruka mkojo.

Means tulikurupuka kudai uhuru.

Bora ya mkoloni kuliko mwekezaji maana mwekezaji ni mwizi anaeiba kingi chapu chapu kupeleka kwao
 
Na bado, wawape wawekezaji wa kigeni hiyo TRC vinginevyo tutapandisha mpaka ng'ombe na mapaka
 
Back
Top Bottom