LGE2024 CCM wamejipanga kimkakati uchaguzi huu wa Serikali za mitaa Upinzani wanang'aa mimacho tuu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kindus

JF-Expert Member
May 14, 2014
3,384
2,073
Nipo katika halimashauri Moja huku bush nimeshuhudia harakati kubwa zinavyofanyika kwa mkakati maalumu

Kwanza kabisa sikuona mawakala wa upinzani Ila nimehisi Kuna mauzauza yanayopangwa kwa mkakati mzur kabisa

Makarani wametoka vituoni wapo wanatembea nyumba kwa nyumba wakiongozwa na mtendaji wa kata katika kuandikisha wapo watu wanagoma kuandikishwa lakini huandikishwa kwa kufosiwa

Mtendaji kaenda MBALI kuwatisha baadhi ya watu waliyoko ktk mpango wa kaya masikini TASAF kwamba asipoona majina Yao kwenye daftari atawatoa kwenye TASAF

Kilichonishangaza ni undikishwaji wa watu wenye afya ya akili yaani wanaandikishwa Hadi vichaa

Mie nikahoji kuwa huyu kichaa mnayemwandikisha atapigaje kura nikambiwa yeyote aliyeandikishwa atapiga tu kura aje kituoni asije kura yake itapigwa

Upinzani kalabagaho nchi hii hamtokaa mshinde uchaguzi daima dawamo.
 
Tofautisha hili ni zoezi la kuandikisha wapiga kura

Sasa kama mtendaji wa kata kaamua kusogeza huduma kwa wananchi kwa kuwafuata nyumbani ili wawaandike shida ni nini hapo?

Acha zoezi la kuandikisha lipite salama watu waandikwe kutoka maeneo yao kisha zoezi la kupiga kura lifuate

Tusibashiri mambo wakishaandikwa ndio wanakuwa na sifa ya kupiga kura
 
Nipo katika halimashaur Moja huku bush nimeshuhudia harakati kubwa zinavyofanyika kwa mkakati maalumu

Kwanza kabisa sikuona mawakala wa upinzani
Ila nimehisi Kuna mauzauza yanayopangwa kwa mkakati mzur kabisa

Makarani wametoka vituoni wapo wanatembea nyumba kwa nyumba wakiongozwa na mtendaji wa kata katika kuandikisha wapo watu wanagoma kuandikishwa lkn huandikishwa kwa kufosiwa

Mtendaji kaenda MBALI kuwatisha baadhi ya watu waliyoko ktk mpango wa kaya masikini TASAF kwamba asipoona majina Yao kwenye daftari atawatoa kwenye TASAF

Kilichonishangaza ni undikishwaji wa watu wenye afya ya akili yaani wanaandikishwa Hadi vichaa

Mie nikahoji kuwa huyu kichaa mnayemwandikisha atapigaje kura nikambiwa yeyote aliyeandikishwa atapiga tu kura aje kituoni asije kura yake itapigwa
Upinzani kalabagaho nchi hii hamtokaa mshinde uchaguzi daima dawamo.
wapinzani badala ya kujipanga na kujiandaa kwa uchaguzi huo wa kihistoria,

eti wanajipanga kulalamika kuibiwa 🤣
 
Tofautisha hili ni zoezi la kuandikisha wapiga kura

Sasa kama mtendaji wa kata kaamua kusogeza huduma kwa wananchi kwa kuwafuata nyumbani ili wawaandike shida ni nini hapo?

Acha zoezi la kuandikisha lipite salama watu waandikwe kutoka maeneo yao kisha zoezi la kupiga kura lifuate

Tusibashiri mambo wakishaandikwa ndio wanakuwa na sifa ya kupiga kura
Tumefikia hapo kuwa watu hawajitokezi tena vituoni hadi huduma iwafuate mlangoni?
 
Wapiga kura ndio tatizo la hii inchi. Wakitambua maamuzi yao kwenye sanduku la kura,hawatakubali kununuliwa kama nguo.
 
CCM wameisha tangaza kuwa ni lazima washinde uchaguzi na hii inasemwa wazi wazi na viongozi wa juu ngazi ya chama cha CCM na Serikali yake, sasa mtu anayetamani mabadiliko ya kiuongozi ana sababu gani ya kwenda kujiandikisha kupiga kura wakati mshindi ameishafahamika? 🤔
 
Nipo katika halimashaur Moja huku bush nimeshuhudia harakati kubwa zinavyofanyika kwa mkakati maalumu

Kwanza kabisa sikuona mawakala wa upinzani
Ila nimehisi Kuna mauzauza yanayopangwa kwa mkakati mzur kabisa

Makarani wametoka vituoni wapo wanatembea nyumba kwa nyumba wakiongozwa na mtendaji wa kata katika kuandikisha wapo watu wanagoma kuandikishwa lkn huandikishwa kwa kufosiwa

Mtendaji kaenda MBALI kuwatisha baadhi ya watu waliyoko ktk mpango wa kaya masikini TASAF kwamba asipoona majina Yao kwenye daftari atawatoa kwenye TASAF

Kilichonishangaza ni undikishwaji wa watu wenye afya ya akili yaani wanaandikishwa Hadi vichaa

Mie nikahoji kuwa huyu kichaa mnayemwandikisha atapigaje kura nikambiwa yeyote aliyeandikishwa atapiga tu kura aje kituoni asije kura yake itapigwa
Upinzani kalabagaho nchi hii hamtokaa mshinde uchaguzi daima dawamo.
1.Duh aisei! Wameandikisha vichaa wangapi uliowaona?
2. Lakini, Mtendaji wa Kata ni mtumishi wa serikali siyo CCM.

3. Ni sahihi kuwalazimisha watu kujiandiksha wakiwemo wanufaika wa TASAF. Kwa mfano, bila kuchagua viongozi bora huo umasikini utaondokaje? 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom