Pre GE2025 CCM waachane na Samia Suluhu na Emmanuel Nchimbi. Hawataki Reforms

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
34,684
64,010
..ukweli ndio huo.

..Samia Suluhu na Emmanuel Nchimbi hawataki Reforms.

..Wagombea hao wanataka marudio ya uchaguzi kama wa Oct 2020, na Nov 2024.

..CCM inapaswa kuachana na wagombea hao ambao bila shaka hawataki amani, wala haki.

..Chama kiteuwe wagombea wapya wanaothamini na kuheshimu haki, amani, na demokrasia.
 
..ukweli ndio huo.

..Samia Suluhu na Emmanuel Nchimbi hawataki Reforms.

..Wagombea hao wanataka marudio ya uchaguzi kama wa Oct 2020, na Nov 2024.

..CCM inapaswa kuachana na wagombea hao ambao bila shaka hawataki amani, wala haki.

..Chama kiteuwe wagombea wapya wanaothamini na kuheshimu haki, amani, na demokrasia.
Mkuu JK, JokaKuu , mbona unataka kuturudisha nyuma?,hii ilipita imekwisha siku nyingi!,sasa tunaangalia uchaguzi wa 2030,mgombea urais wa JMT tayari tunaye bado tuu mwenza kutoka Zanzibar!。We are so much ahead!。

Uchaguzi wa rais 2025 tuliisha ukamilisha,kinachosubiriwa ni kukamilisha tuu takwa la kikatiba kukamilisha taratibu,na matokeo ya urais wa 2025 tuliisha yatangaza kitambo sana!Pre GE2025 - LGE2024 - Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!
P
 
Mkuu JK, JokaKuu , mbona unataka kuturudisha nyuma?,hii ilipita imekwisha siku nyingi!,sasa tunaangalia uchaguzi wa 2030,mgombea urais wa JMT tayari tunaye bado tuu mwenza kutoka Zanzibar!。We are so much ahead!。

Uchaguzi wa rais 2025 tuliisha ukamilisha,kinachosubiriwa ni kukamilisha tuu takwa la kikatiba kukamilisha taratibu,na matokeo ya urais wa 2025 tuliisha yatangaza kitambo sana!Pre GE2025 - LGE2024 - Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!
P

..Samia na Nchimbi hawafai kwa amani ya Tanzania.

..hawataki reforms, maana yake hawataki amani.
 
hiki unachokisema ni ndoto za alinacha, labda itokee natural cause vinginevyo ni sawa na kusema usiyempenda kaja.
 
..ukweli ndio huo.

..Samia Suluhu na Emmanuel Nchimbi hawataki Reforms.

..Wagombea hao wanataka marudio ya uchaguzi kama wa Oct 2020, na Nov 2024.

..Wako tayari kumwaga damu za Watanzania ili wapate madaraka.

..CCM inapaswa kuachana na wagombea hao ambao bila shaka hawataki amani, wala haki.

..Chama kiteuwe wagombea wapya wanaothamini na kuheshimu haki, amani, na demokrasia.
Mwenzi wa sita ilo litafanyika!!
 
Mkuu Bora hata na hao,Unatengemea nani agombee pale Ccm ?ambaye atakubali Reforms?Nani? Huyu January au Mwigulu?
 
..ukweli ndio huo.

..Samia Suluhu na Emmanuel Nchimbi hawataki Reforms.

..Wagombea hao wanataka marudio ya uchaguzi kama wa Oct 2020, na Nov 2024.

..Wako tayari kumwaga damu za Watanzania ili wapate madaraka.

..CCM inapaswa kuachana na wagombea hao ambao bila shaka hawataki amani, wala haki.

..Chama kiteuwe wagombea wapya wanaothamini na kuheshimu haki, amani, na demokrasia.
CCM waoga na wanafiki sana Ndugu yangu
 
Back
Top Bottom