Rozela JF-Expert Member Jan 5, 2024 676 1,887 Dec 27, 2024 #1 CCM kila mtu anajipigia anasepa. CHADEMA shoo zote anasimamia kamanda wa anga, mjomba wangu kumbukeni kuwa mjomba ni mama. Ambao hamjachangia kadi zenu fanyeni hima tunahitaji kuchoma mbuzi zaidi mwaka mpya.
CCM kila mtu anajipigia anasepa. CHADEMA shoo zote anasimamia kamanda wa anga, mjomba wangu kumbukeni kuwa mjomba ni mama. Ambao hamjachangia kadi zenu fanyeni hima tunahitaji kuchoma mbuzi zaidi mwaka mpya.
LIMBOMAMBOMA JF-Expert Member Oct 3, 2017 10,424 13,953 Dec 27, 2024 #2 Haahaa mbowe nilidhani ni mwana mabadiliko wa kweli, kumbe sivyo, umma kwa sasa unamtaka lissu yeye kachukua fomu😂😂
Haahaa mbowe nilidhani ni mwana mabadiliko wa kweli, kumbe sivyo, umma kwa sasa unamtaka lissu yeye kachukua fomu😂😂
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 132,467 157,810 Dec 28, 2024 #4 Inasikitisha sana... Cc: Mahondaw