mtumishidc
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 513
- 181
ndugu nape amesema ccm haiwezi kuyaacha maadili ya uongozi maana ikiyaacha maadili ya uongozi ccm itakufa! Ameyasema hayo akiwa lindi
chanzo: ITV
SWALI LA KUJIULIZA: CCM inafuata maadili ya uongozi?
waliyoyaondoa kwenye rasimu ni wa ki nani?
waliopiga escrow wamefuata maadili ya uongozi?
na kama hawafuati maana yake CCM imeshajifia na NAPE anaota ndoto za mchana?
chanzo: ITV
SWALI LA KUJIULIZA: CCM inafuata maadili ya uongozi?
waliyoyaondoa kwenye rasimu ni wa ki nani?
waliopiga escrow wamefuata maadili ya uongozi?
na kama hawafuati maana yake CCM imeshajifia na NAPE anaota ndoto za mchana?