LGE2024 CCM hadi mechi za ndondo mnanunua marefarii

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
19,618
36,771
Uchaguzi wa Serikali za mitaa Kwa jinsi unavyoendeshwa kwa kweli ni kama mashindano ya mtaani tu maarufu kama ndondo.

Lakini pamoja na hiyo CCM inaonekana imepania kiharamu kushinda uchaguzi huu.

Ingawa watu hawana tena Imani na mifumo ya kuendesha chaguzi hapa Tanzania, lakini CCM wanahaha kulazimisha kushinda.

Hali ya mambo ilivyo kwenye uchaguzi huu, CCM imeweka wasimamizi wao, na wanatumia kila hila kushinda. Kwa kweli nguvu wanayotumia CCM ni dalili kuwa CCM haipo ila kuna kikundi kidogo cha watu wanaoitumia CCM kwa maslahi Yao.

CCM kweli imechoka.
 
Uchaguzi wa Serikali za mitaa Kwa jinsi unavyoendeshwa kwa kweli ni kama mashindano ya mtaani tu maarufu kama ndondo.

Lakini pamoja na hiyo CCM inaonekana imepania kiharamu kushinda uchaguzi huu.

Ingawa watu hawana tena Imani na mifumo ya kuendesha chaguzi hapa Tanzania, lakini CCM wanahaha kulazimisha kushinda.

Hali ya mambo ilivyo kwenye uchaguzi huu, CCM imeweka wasimamizi wao, na wanatumia kila hila kushinda. Kwa kweli nguvu wanayotumia CCM ni dalili kuwa CCM haipo ila kuna kikundi kidogo cha watu wanaoitumia CCM kwa maslahi Yao.

CCM kweli imechoka.
andiko zima CCM tupu :pedroP:
 
Mkuu umeanza kuweka mpira kwapani mapema. Hamjiandikishi wala kuwa na sera ya kuhamasisha wanachama wenu na watanzania wengine kwa ujumla.Mmebakia kulalamika na matokeo mnayajua.
If you fail to plan ,you plan to fail.
 
Ndiyo wezi wa uchaguzi
unadhani ukisema hivyo ndio CCM itaacha kupata ushindi wa kishindo?🤣

ccm haina mzaha wala haina aibu kwenye suala serious kama uchaguzi..

hata uinenene vibaya kiasi gani ushindi ni Lazima, itaunda serikali na kuongoza dollar bila mbambamba yoyote ile, iwe ya mitandaoni au kutokea kwa wapinzani walipoteza uelekeo na waliokosa hoja wala ushawishi kwa umma 🐒
 
Back
Top Bottom