Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,741
- 3,461
Niweke wazi kwanza, mimi sio timu Tawala wala Tawaliwa bali timu maendeleo.
Kila kukicha tunaona makundi yanaibuka yanayosema kocha wetu anaupiga mwingi hadi unamwagika lakini bahati mbaya ni makundi ya wachezaji tu sio mashabiki.
Kocha anashindwa kufanya sub-konki za kutupa alama tatu badala yake anatoa bonus kwa wachezaji tu na mbaya zaidi anachukua wachezaji wa nje kwa mkopo ambao sisi mashabiki ndio tunapaswa kuwalipa wakati hawatunufaishi.
Timu za nje zinatusaidia wachezaji kibao hadi sasa wamefika 97 lakini hatuoni dalili ya kuwanufaisha mashabiki.
Namna alivyopatikana kocha kiukweli mashabiki hatukuelewa maana sio kawaida ya timu yetu mbaya zaidi tunavyowafanyia figisu timu pinzani ndivyo tunazidi kuwapa nguvu zaidi tunahisi tunaididimiza timu yao kumbe tunajenga, tunaipitisha dhahabu kwenye moto na ligi ikifika patamu zile cheche za moto si ajabu zikatuunguza sisi.
Uwezo wa kocha wetu unaweza kuwa ni mzuri ila wachezaji wanampamba hadi kwenye mambo madogo na ya kawaida. Tumesahau kama mbinu nyingi na facilities tunazomsifia ni maono ya kocha aliyepita.
Leo hii kocha wao amefungiwa na Fifa lakini mashabiki wengi wa mpira wanahisi kocha wetu kahusika na wanalaumu sana kwani benchi letu la ufundi limetanda sehemu zote ili kuhakikisha mpira haumfikii kocha wao asije akajiongezea idadi kubwa ya mashabiki.
Ni vyema TUBADILISHE KOCHA kabla mambo hayajaharibika
Tuipende timu kwanza kabla ya kumpenda kocha.
Unajua maana ya Paragraphs kwenye bandiko lolote lile
Niweke wazi kwanza, mimi sio timu Tawala wala Tawaliwa bali timu maendeleo.
Kila kukicha tunaona makundi yanaibuka yanayosema kocha wetu anaupiga mwingi hadi unamwagika lakini bahati mbaya ni makundi ya wachezaji tu sio mashabiki.
Kocha anashindwa kufanya sub-konki za kutupa alama tatu badala yake anatoa bonus kwa wachezaji tu na mbaya zaidi anachukua wachezaji wa nje kwa mkopo ambao sisi mashabiki ndio tunapaswa kuwalipa wakati hawatunufaishi.
Timu za nje zinatusaidia wachezaji kibao hadi sasa wamefika 97 lakini hatuoni dalili ya kuwanufaisha mashabiki.
Namna alivyopatikana kocha kiukweli mashabiki hatukuelewa maana sio kawaida ya timu yetu mbaya zaidi tunavyowafanyia figisu timu pinzani ndivyo tunazidi kuwapa nguvu zaidi tunahisi tunaididimiza timu yao kumbe tunajenga, tunaipitisha dhahabu kwenye moto na ligi ikifika patamu zile cheche za moto si ajabu zikatuunguza sisi.
Uwezo wa kocha wetu unaweza kuwa ni mzuri ila wachezaji wanampamba hadi kwenye mambo madogo na ya kawaida.
Tumesahau kama mbinu nyingi na facilities tunazomsifia ni maono ya kocha aliyepita.
Leo hii kocha wao amefungiwa na Fifa lakini mashabiki wengi wa mpira wanahisi kocha wetu kahusika na wanalaumu sana kwani benchi letu la ufundi limetanda sehemu zote ili kuhakikisha mpira haumfikii kocha wao asije akajiongezea idadi kubwa ya mashabiki.
Ni vyema TUBADILISHE KOCHA kabla mambo hayajaharibika
Tuipende timu kwanza kabla ya kumpenda kocha.
ahsante sana
Gentleman,
🚮🚮Niweke wazi kwanza, mimi sio timu Tawala wala Tawaliwa bali timu maendeleo.
Kila kukicha tunaona makundi yanaibuka yanayosema kocha wetu anaupiga mwingi hadi unamwagika lakini bahati mbaya ni makundi ya wachezaji tu sio mashabiki.
Kocha anashindwa kufanya sub-konki za kutupa alama tatu badala yake anatoa bonus kwa wachezaji tu na mbaya zaidi anachukua wachezaji wa nje kwa mkopo ambao sisi mashabiki ndio tunapaswa kuwalipa wakati hawatunufaishi.
Timu za nje zinatusaidia wachezaji kibao hadi sasa wamefika 97 lakini hatuoni dalili ya kuwanufaisha mashabiki.
Namna alivyopatikana kocha kiukweli mashabiki hatukuelewa maana sio kawaida ya timu yetu mbaya zaidi tunavyowafanyia figisu timu pinzani ndivyo tunazidi kuwapa nguvu zaidi tunahisi tunaididimiza timu yao kumbe tunajenga, tunaipitisha dhahabu kwenye moto na ligi ikifika patamu zile cheche za moto si ajabu zikatuunguza sisi.
Uwezo wa kocha wetu unaweza kuwa ni mzuri ila wachezaji wanampamba hadi kwenye mambo madogo na ya kawaida. Tumesahau kama mbinu nyingi na facilities tunazomsifia ni maono ya kocha aliyepita.
Leo hii kocha wao amefungiwa na Fifa lakini mashabiki wengi wa mpira wanahisi kocha wetu kahusika na wanalaumu sana kwani benchi letu la ufundi limetanda sehemu zote ili kuhakikisha mpira haumfikii kocha wao asije akajiongezea idadi kubwa ya mashabiki.
Ni vyema TUBADILISHE KOCHA kabla mambo hayajaharibika
Tuipende timu kwanza kabla ya kumpenda kocha.
Kufanya nini?
mi naona mashabiki tungebadili timu kwanza hata kwa misimu kadhaa.Niweke wazi kwanza, mimi sio timu Tawala wala Tawaliwa bali timu maendeleo.
Kila kukicha tunaona makundi yanaibuka yanayosema kocha wetu anaupiga mwingi hadi unamwagika lakini bahati mbaya ni makundi ya wachezaji tu sio mashabiki.
Kocha anashindwa kufanya sub-konki za kutupa alama tatu badala yake anatoa bonus kwa wachezaji tu na mbaya zaidi anachukua wachezaji wa nje kwa mkopo ambao sisi mashabiki ndio tunapaswa kuwalipa wakati hawatunufaishi.
Timu za nje zinatusaidia wachezaji kibao hadi sasa wamefika 97 lakini hatuoni dalili ya kuwanufaisha mashabiki.
Namna alivyopatikana kocha kiukweli mashabiki hatukuelewa maana sio kawaida ya timu yetu mbaya zaidi tunavyowafanyia figisu timu pinzani ndivyo tunazidi kuwapa nguvu zaidi tunahisi tunaididimiza timu yao kumbe tunajenga, tunaipitisha dhahabu kwenye moto na ligi ikifika patamu zile cheche za moto si ajabu zikatuunguza sisi.
Uwezo wa kocha wetu unaweza kuwa ni mzuri ila wachezaji wanampamba hadi kwenye mambo madogo na ya kawaida. Tumesahau kama mbinu nyingi na facilities tunazomsifia ni maono ya kocha aliyepita.
Leo hii kocha wao amefungiwa na Fifa lakini mashabiki wengi wa mpira wanahisi kocha wetu kahusika na wanalaumu sana kwani benchi letu la ufundi limetanda sehemu zote ili kuhakikisha mpira haumfikii kocha wao asije akajiongezea idadi kubwa ya mashabiki.
Ni vyema TUBADILISHE KOCHA kabla mambo hayajaharibika
Tuipende timu kwanza kabla ya kumpenda kocha.
Najua vizuri sanaUnajua maana ya Paragraphs kwenye bandiko lolote lile