Button Mushroom, ni aina ya uyoga ambao ni ghar saba sokoni ukilinganisha na varieties zingine kama Oysters.Shida ni kwamba wazalishaji wanaiogopa hii aina kwa sababu nazani ya process zake za kuizalisha.
Button inapendwa sana sokoni kuliko Oster shida inakuja kwenye price yake ni ghari sana ambapo robo huwa inatembea hadi sh 15,000/
Button inalimwa na Mzungu mmoja yuko Iringa wanajiita Mafisio, huyu ndio suppliers wa Button Tanzania nzima, ingawa inaonekana ana changamoto za kuzalisha kiasi kwamba kwa sasa Button inatoka Kenya kampuni moha inaitwa Majestic, hawa ndio wana supply Button Tanzania kwa sasa.
Local prodycer wengi wanaiogopa hasa process zake.
Button kama uko ukanda wa Baridi kama Iringa, Mbea, Arusha na sehemu za Kilimanjaro unaweza izalisha ingawa pia hata sehemu za joto sema gharama zitakuwa juu.
Wazalishaji wengi wamejikita kwenye hii Oryster ambayo ni cheap sana na ni rahisi sana kuzalisha na imejaaa masokoni.
Rocess zake ndio zinafanya watu waiogope kuizalisha, ina process nyingi na ngumu ukilinganisha na hizi aina zingine.
View attachment 2833854View attachment 2833855