Buses kutoka Tanzania kwenda Mombasa-Kenya

Dpp

New Member
Dec 30, 2022
1
1
Habari wapendwa!
Kuna mabasi yanayotoka Dar Es Salaam kwenda Mombasa - Kenya? Je kama Yapo nauli ni sh. Ngapi? na Kwa Dar nayapata wapi? Nielekezeni utaratibu.
 
Nauli sijajua ila hapa bara bara ya lumumba (mnazi mmoja) nayaona maranyingi TAHMEED na hua yanaenda mombasa

Na sehemu nyingine ni pale baada ya kituo cha fire pia nahisi ma agent wapo

Wajuvi zaidi watakusaidia nadhani.
 
TAHMEED, Hilo basi ndo nambari moja kwenda huko, Kwa nauli sifahamu, nadhani wana website, pia Kuna TAWAKAL pia anaenda huko...basi zote hizo ziko vizuri.
 
Back
Top Bottom