Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,936
- 13,691
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Januari 29, 2025 linaendelea na mkutano wake wa 18 ambapo, pamoja na Kipindi cha Maswali na Majibu, linatazamiwa kujadili miswada miwili ya sheria.
Muswada wa kwanza ni wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 3) wa Mwaka 2024 na kisha litajadili na hatimaye kupitisha Muswada wa pili wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 4) wa Mwaka 2024.
Fuatilia moja kwa moja Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 2 Januari 29, 2025.
Muswada wa kwanza ni wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 3) wa Mwaka 2024 na kisha litajadili na hatimaye kupitisha Muswada wa pili wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 4) wa Mwaka 2024.
Fuatilia moja kwa moja Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 2 Januari 29, 2025.