Rich Pol JF-Expert Member Oct 11, 2013 7,866 5,676 Jun 13, 2014 #3 Brazil amekaa vizuri sana, by the way mkuu hujajibu pm yangu.
Kibo10 JF-Expert Member Aug 20, 2013 11,277 8,843 Jun 13, 2014 Thread starter #4 Rich Pol said: Brazil amekaa vizuri sana, by the way mkuu hujajibu pm yangu. Click to expand... Hiyo group hata Valentina aliniambia situmiagi hiyo whatsapp mkuu! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Rich Pol said: Brazil amekaa vizuri sana, by the way mkuu hujajibu pm yangu. Click to expand... Hiyo group hata Valentina aliniambia situmiagi hiyo whatsapp mkuu!
privacy JF-Expert Member Apr 20, 2014 1,446 1,278 Jun 13, 2014 #5 Kibo10 said: View attachment 164756nani katisha! Click to expand... Ni Brazil na Croatia mkuu sio USA maana bendera ya USA haipo hivyo Sent from my iPhone using JamiiForums
Kibo10 said: View attachment 164756nani katisha! Click to expand... Ni Brazil na Croatia mkuu sio USA maana bendera ya USA haipo hivyo Sent from my iPhone using JamiiForums
Rich Pol JF-Expert Member Oct 11, 2013 7,866 5,676 Jun 14, 2014 #6 Kibo10 said: Hiyo group hata Valentina aliniambia situmiagi hiyo whatsapp mkuu! Click to expand... Sawa mkuu. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kibo10 said: Hiyo group hata Valentina aliniambia situmiagi hiyo whatsapp mkuu! Click to expand... Sawa mkuu.
Gumilapua JF-Expert Member Sep 13, 2011 842 582 Jun 14, 2014 #7 hii picha haina maadili kabisa yaani hawa wasichana hawajavaa hata nguo moja zaidi ya marangi waliojipaka! Mleta uzi iondoe post yako au la nakuripoti upate ban! Kuna watoto humu sio kutuwekea picha zako za utupu!
hii picha haina maadili kabisa yaani hawa wasichana hawajavaa hata nguo moja zaidi ya marangi waliojipaka! Mleta uzi iondoe post yako au la nakuripoti upate ban! Kuna watoto humu sio kutuwekea picha zako za utupu!
mwanamajimbi JF-Expert Member Jun 20, 2013 601 152 Jun 14, 2014 #8 mimi ni mtoto na nimeona.. sijui wataitoa saa ngap?
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Jun 14, 2014 #9 Hebu huyo Brazil ageukie kwengu nimtathmini vizuri.
mankachara JF-Expert Member Sep 27, 2013 6,144 3,458 Jun 14, 2014 #12 Mimi acha niondoke mada hainihusu
Bavaria JF-Expert Member Jun 14, 2011 53,097 53,438 Jun 15, 2014 #13 Huu ndo ushabiki, sio wewe unakaa bar na beer yako unajiita mshabiki