Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 776
- 1,755
Kama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.
Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).
Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?
Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.
So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).
Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?
Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.
So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.