johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 96,985
- 170,058
Meya wa zamani wa Ubungo ambaye ni Team Mbowe Uchaguzini amevunja ukimya na kumsifia Dr Slaa
Boniface Jacob aka Boni Yai amesema Dr Slaa ni Mtu MWEMA sana
Kwa Siku tulipokuwa mahabusu ya Mbweni Mimi na Malisa Dr Slaa alituletea Chai ya maziwa na chapati Kila Siku asubuhi kabla hata familia zetu hazijafika
Boni Yai Amelia sana kwa Dr Slaa kuwekwa mahabusu
Ni huko Ukurasani X
Ahsanteni Sana 🐼
Boniface Jacob aka Boni Yai amesema Dr Slaa ni Mtu MWEMA sana
Kwa Siku tulipokuwa mahabusu ya Mbweni Mimi na Malisa Dr Slaa alituletea Chai ya maziwa na chapati Kila Siku asubuhi kabla hata familia zetu hazijafika
Boni Yai Amelia sana kwa Dr Slaa kuwekwa mahabusu
Ni huko Ukurasani X
Ahsanteni Sana 🐼