johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,689
Kumekucha Twaha Mwaipaya na Yeriko Nyerere wamempongeza Tundu Antipas Lisu kwa kutangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa
Boni Yai ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mlinzi wa Mwenyekiti Mh Freeman Mbowe amemsihi Lisu arudishe kisu alani mwake akimaanisha aachane na Nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti Ili family ya Chadema ibaki na Amani
Pongezi na Makasiriko vinaendelea kutamba Ukurasani X
Baadae Mlale unono 😂🔥
Boni Yai ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mlinzi wa Mwenyekiti Mh Freeman Mbowe amemsihi Lisu arudishe kisu alani mwake akimaanisha aachane na Nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti Ili family ya Chadema ibaki na Amani
Pongezi na Makasiriko vinaendelea kutamba Ukurasani X
Baadae Mlale unono 😂🔥