Bodyguard wa Lionel Messi apigwa marufuku kuingia sehemu ya kuchezea

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,870
6,808
Lionel Messi’s bodyguard, Yassine Cheuko, has been banned by MLS from protecting the Argentine...jpg
Lionel Messi’s bodyguard, Yassine Cheuko, has been banned by MLS from protecting the Argentine on the pitch due to new league safety regulations ❌✋

"I was in Europe for seven years working for Ligue 1 and the Champions League, and only six people invaded the pitch.'I arrived in the United States, and in 20 months of work, 16 people have already invaded the pitch. There's a huge problem here. I'm not the problem."

"I love MLS and CONCACAF, but we have to work together. I love helping. I'm not better than anyone, but I have a wealth of experience in Europe. It's fine, I understand their decision, but I think we could do better."

====

Mlinzi wa Lionel Messi, Yassine Cheuko amepigwa marufuku na MLS kuingia uwanjani wakati wa mechi za Inter Miami, Mlinzi huyo alikuwa akiingia uwanjani kama njia ya kuzuia wavamizi wa uwanja kumfikia Boss wake Muargentina Lionel Messi.

"Tangu nilipofika Marekani, katika muda wa miezi 20 ambayo nimekuwa [nafanya kazi Inter Miami], watu 16 wameingia uwanajni kumkimbilia Messi, hapa kuna tatizo kubwa sana, mimi sio tatizo" amesema Cheuko

 
Hii kazi basi tu!, unajua unaweza ukawa unamlimda mtu huku lkn familia yako ikavamiwa!..😅

by the way sasa ikiwa kila mchezaji akiingia na bodyguard wake itakuwaje sasa! inatakiwa ma afisa uwanja wadumishe ulinzi maana jamaa nae hana namna analinda kibarua chake!.
 
Mlinzi wa Lionel Messi, Yassine Cheuko amepigwa marufuku na MLS kuingia uwanjani wakati wa mechi za Inter Miami, Mlinzi huyo alikuwa akiingia uwanjani kama njia ya kuzuia wavamizi wa uwanja kumfikia Boss wake Muargentina Lionel Messi.

"Tangu nilipofika Marekani, katika muda wa miezi 20 ambayo nimekuwa [nafanya kazi Inter Miami], watu 16 wameingia uwanajni kumkimbilia Messi, hapa kuna tatizo kubwa sana, mimi sio tatizo" amesema Cheuko

 
Huyo baunsa noma hata ukiwaza tu kumkimbilia Mess huyooo kashakurukia ,nje ya yote nahisi jamaa sio baunsa Mwarabu fighter huyo utakuta ana mafunzo makubwa sana ya kiusalama na kimedani na elimu ipo unaweza kuta lina masters yake ya uchumi hapo sio hawa mabaunsa wetu akihojiwa ooh mimi niliamua niache shule wenzangu wasome ,
Waaaapi bwanaa vilaza wakubwa nyie
 
Huyo baunsa noma hata ukiwaza tu kumkimbilia Mess huyooo kashakurukia ,nje ya yote nahisi jamaa sio baunsa Mwarabu fighter huyo utakuta ana mafunzo makubwa sana ya kiusalama na kimedani na elimu ipo unaweza kuta lina masters yake ya uchumi hapo sio hawa mabaunsa wetu akihojiwa ooh mimi niliamua niache shule wenzangu wasome ,
Waaaapi bwanaa vilaza wakubwa nyie
Alihudumu vita Afghanistan huyo. NI mwanajeahi mstaafu wa Marekani. Sheria ya Marekani mwanajeahi akitoka kwenye mission anaruhusiwa kuomba kuataafu...
 
Anachofanya Messi na huyo bodyguard wake ni upuuzi tuu, ila mashabiki wake hawawezi kuelewa.

Tuseme wachezaji wote ndani ya uwanja waje na mabodyguard wao itakuwaje
 
Anachofanya Messi na huyo bodyguard wake ni upuuzi tuu, ila mashabiki wake hawawezi kuelewa.

Tuseme wachezaji wote ndani ya uwanja waje na mabodyguard wao itakuwaje
Acha utoto messi unamfananisha na mchezaji gani sasa messi anastaili ivyo tena mmoja hatoshi
 
Huyo baunsa noma hata ukiwaza tu kumkimbilia Mess huyooo kashakurukia ,nje ya yote nahisi jamaa sio baunsa Mwarabu fighter huyo utakuta ana mafunzo makubwa sana ya kiusalama na kimedani na elimu ipo unaweza kuta lina masters yake ya uchumi hapo sio hawa mabaunsa wetu akihojiwa ooh mimi niliamua niache shule wenzangu wasome ,
Waaaapi bwanaa vilaza wakubwa nyie
Mbona mnapenda kujishusha Sana na kutukuza vya nje
 
Mbona mnapenda kujishusha Sana na kutukuza vya nje
Haya jipandishe wewe kuwa huyo mwarabu fighter ni bora kuliko baunsa wa Mess uone hata akili yako ikikukataa,
Sikia uzalendo sio kuwa mnafki au kutetea hata yasiyokuwepo haya sifia bas Tanesco alafu ponda shirika la umeme la Uingereza huko kama ndio kujibrand,

Tunaweza tu kujipaisha ikiwa tuna muelekeo au tunaendana na hatua kubwa walizopiga wenzetu ,
Cha kuongezea kaangalie wasifu wa baunsa wa Mess na wa Mwarabu fighter
 
Haya jipandishe wewe kuwa huyo mwarabu fighter ni bora kuliko baunsa wa Mess uone hata akili yako ikikukataa,
Sikia uzalendo sio kuwa mnafki au kutetea hata yasiyokuwepo haya sifia bas Tanesco alafu ponda shirika la umeme la Uingereza huko kama ndio kujibrand,

Tunaweza tu kujipaisha ikiwa tuna muelekeo au tunaendana na hatua kubwa walizopiga wenzetu ,
Cha kuongezea kaangalie wasifu wa baunsa wa Mess na wa Mwarabu fighter
Wewe ni hamnazo,
Uzi unamuongelea baunsa wa Messi lakini wewe unang'ang'ana na mwarabu fighter childish
 
Haya jipandishe wewe kuwa huyo mwarabu fighter ni bora kuliko baunsa wa Mess uone hata akili yako ikikukataa,
Sikia uzalendo sio kuwa mnafki au kutetea hata yasiyokuwepo haya sifia bas Tanesco alafu ponda shirika la umeme la Uingereza huko kama ndio kujibrand,

Tunaweza tu kujipaisha ikiwa tuna muelekeo au tunaendana na hatua kubwa walizopiga wenzetu ,
Cha kuongezea kaangalie wasifu wa baunsa wa Mess na wa Mwarabu fighter
Shida uchawa wa ccm umewalibu sana siyo akili zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom