BMW(used) sio gari ya mtu anaejifunza kumiliki gari.Habarini za wakati huu wakuu.. Poleni na Hongereni kwa majukumu mnayotekeleza.
Kama hapo topic inavyoejieleza ni gari ipi nzuri na imara ya kumshauri mtu kununua kati ya BMW 3 SERIES na CROWN ATHLETE.
ASANTENI
Nunua Athlete tu, kama ni gari ya kwanza!Habarini za wakati huu wakuu.. Poleni na Hongereni kwa majukumu mnayotekeleza.
Kama hapo topic inavyoejieleza ni gari ipi nzuri na imara ya kumshauri mtu kununua kati ya BMW 3 SERIES na CROWN ATHLETE.
ASANTENI
Halafu ukitaka BMW upate size ya Athlete inabidi ununue 5 series.Nunua Athlete tu, kama ni gari ya kwanza!
Eeh 5 series nadhani ndio class moja na Athlete ile... 3 series wenzie ni akina PremioHalafu ukitaka BMW upate size ya Athlete inabidi ununue 5 series.
Acha dharau 🤣🤣🤣 335i unaifananisha na premio cc 1900Eeh 5 series nadhani ndio class moja na Athlete ile... 3 series wenzie ni akina Premio
Eeh ndio class moja hao! Maybe Lexus ita mate na IS250 hapoAcha dharau 🤣🤣🤣 335i unaifananisha na premio cc 1900
Lexus IS naunga mkono. Hafu mtoa mada angeshauriwa adake lexus ina flavour za sports na comfort.Eeh ndio class moja hao! Maybe Lexus ita mate na IS250 hapo
Acha kulinganisha BMW na vitu vya ajabu bana.We huoni hata majina tu.Habarini za wakati huu wakuu.. Poleni na Hongereni kwa majukumu mnayotekeleza.
Kama hapo topic inavyoejieleza ni gari ipi nzuri na imara ya kumshauri mtu kununua kati ya BMW 3 SERIES na CROWN ATHLETE.
ASANTENI
Body size not engine size.Acha dharau 🤣🤣🤣 335i unaifananisha na premio cc 1900
Nunua kwenye kampuni ya taifa ambayo ni Toyota
Tunakaribia kuitangaza kuwa Toyota IST ni gari ya taifa
Mbona rally zinafanyika mara nyingi! Juzi juzi imefanyika Morogoro..ivj bongo hamna michezo ya kushindana magari?
ipo unataka shidana au angalia nikupe mwariko when we arrange ?ivj bongo hamna michezo ya kushindana magari?
rallly street drag race even stunts achague yy tu apewe mwariko wa event gan alio intereted nayoMbona rally zinafanyika mara nyingi! Juzi juzi imefanyika Morogoro..
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app