africaneagle
Senior Member
- Jun 29, 2015
- 111
- 27
Jamani nna notebook yangu kama kicha husika kilivyo, nli install ubuntu, baada ya hapo nimeshindwa kuingia kwenye bios kabisa nkichagua bios setup system inaanza, pia nlitoa ubuntu nkaweka windows 8pro, ila hii machine haiingii windows yoyote isipokuwa tu windows 8 na iwe 64bit
Msaada wenu.
Msaada wenu.