Bikosports kikundi cha matapeli ? ?

four eyes

JF-Expert Member
Jan 11, 2017
905
1,408
Habari wadau,kwa wale wapenzi wa kubeti bila shaka mtakuwa mnaifahamu kampuni hii ya kubetisha online ya bikosports.
Hii kampuni nimeanza kuhisi ni kikundi cha matapeli sababu imekuwa shida sana kulipwa pesa zako unaposhinda mkeka na wakat mwingine usilipwe kabisa.
Mfano hai ni mm mwenyewe wiki tatu zilizopita nilibet mikeka kadhaa ambayo nilishinda pesa lakini mpaka leo ni wiki ya nne kila nikipiga simu naambiwa kulikuwa na matatizo kidogo tupe namba ya tiketi zako tutakutumia pesa,ukishawapa hzo namba za ticket ni kimya.
Najiuliza je hawa ni matapeli au ni desi mpya imeibuka ?
 
Hii ni bikosports ya kubet matokeo ya mpira,ila jamaa ni matapeli unashinda hawakulipi hivi mamlaka ipi inahusika na mambo ya betting ?
da kumbe mambo ya mpira tena. Mi na mpira kama kaskazi na kusi. Naujua ule wa kwenye 6*6 tu hii mingine kucheza nazomewa ata siwezi
 
naomben namba za hao customer care please.!nimetuma elf 15 hawajanipa ticket hata moja
 
Mchezo wa kweli ni m-bet&sport pesa hawawengi hakuna kitu.........washindi wengi ni wa dar es salaam cjawahi kusikia mshindi katoka kigoma
 
Back
Top Bottom