Unajua kama wewe unatumia vitu kama Jamii forums shukuru sana.
Hivi unajua watanzania wengi hata kutumia browser ni issue. Sasa zikianza steps za kufanya malipo,jumlisha na matatizo ya delivery na gharama zake, na issue ya uaminifu basi inakuwa ngumu.
Labda kama utakuwa na discount ya kipekee unaweza kufanikiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.