Biashara ya mapasheni

Daaaah umenkumbusha mbali,,nakumbuka enzi izo tulikua tunakula mengiiiii,,then tunaenda kichakani kujisaidia kila mtu sehem yake,,baada ya mda tunaenda kuangalia kama yameota🙌🏾😂😂,,coz mbegu zake hua zinatoka kama zilivo.

Enewei wanakuja kukushauri.
 
Back
Top Bottom