Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
7,189
10,366
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.

Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?

Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?

Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
 
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.

Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?

Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?

Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
Mkuu, Ngoja waje wataalamu wa biashara.
 
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.

Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?

Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?

Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.

Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.

Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.

Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule

Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
 
Acha vitisho na kutisha watu mnakuwa na mentality za kuwaaminisha watu kuwa Biashara ni za watu fulani .
Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza idea yake.

Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu. la sivyo utazila pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.
 
Biashara kuendesha ukiwa mbali inawezeakana lakini shida kuu ni kukosekana Kwa kitu kimoja tu
UAMINIFU.
kama hutoibiwa ama kudokolewa faida basi itaibiwa jumla
Utakuwa umechezea mtaji wako tu.
Biashara inahitaji uwepo wako ndipo itaenda Kwa ufanisi
Japo watu waaminifu wapo lakini namna ya kuwapata Sasa
 
Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.

Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.

Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.

Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule

Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
Mkuu, upo sahihi kabisa. Hata kilimo cha kupiga simu si kilimo. Wengi wamejuta.
 
Huyo atakayekusaidia kuendesha hiyo biashara asipokuwa muaminifu unaweza kupoteza pesa yote. Lazima ujipange kwa hilo. Pia angalia location uliyopanga kuna uhitaji wa kitu gani? Kati ya ulivyotaja hapo? Je unayetaka kumuweka aendeshe boashara yako ana experience nayo? Kisha fanya maamuzi
 
Back
Top Bottom