GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,366
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.
Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?
Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?
Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?
Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?
Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?