Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,870
- 5,047
Polisi nchini Uganda imethibitisha kuwashikilia maafisa tisa wa Wizara ya Fedha kwa uchunguzi wa tuhuma za kudukua mifumo ya benki kuu na kuiba kiasi cha shilingi bilioni 62 (Dola Milioni 16.87).
Haya yanajiri baada ya wizi mkubwa kutokea Novemba mwaka jana, ambapo Waziri wa Fedha, Henry Musasizi, alithibitisha kuwa akaunti za Benki ya Uganda zilidukuliwa na fedha kuhamishwa kinyume cha sheria.
Polisi imesema kuwa maafisa hao, wakiwemo kutoka idara ya hazina na ofisi ya mhasibu mkuu wa wizara, wanashikiliwa kwa ajili ya kusaidia uchunguzi wa tukio hilo.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Fedha haikutaja majina wala idadi kamili ya maafisa waliokamatwa, lakini msemaji wa polisi, Kituuma Rusoke, amethibitisha kuwa maafisa hao wameshikiliwa na vyombo vya sheria.
Gazeti la serikali la New Vision limeripoti kuwa wadukuzi hao, waliojitambulisha kama "Taka', walifanikiwa kudukua mifumo ya TEHAMA ya Benki ya Uganda na kuhamisha fedha hizo kwa njia haramu.
==
Those detained include the senior most official of the ministry's Treasury department, the police and the finance ministry said.
Some officers attached to the accountant general's office at the ministry "were summoned and detained by the Criminal Investigations Department to facilitate conclusion of the investigations," the finance ministry said in a post on its X account late on Tuesday.
The ministry did not give the names of those detained or their number. Police spokesperson Kituuma Rusoke, however, told NTV television that nine officials had been detained and also read out their names that included the top Treasury official.
The official and the eight others arrested were not immediately reachable to comment.
State-owned New Vision newspaper had reported that hackers, identifying themselves as "Waste", accessed the Bank of Uganda's IT systems and illicitly transferred the funds. ($1 = 3,675.0000 Ugandan shillings)
Haya yanajiri baada ya wizi mkubwa kutokea Novemba mwaka jana, ambapo Waziri wa Fedha, Henry Musasizi, alithibitisha kuwa akaunti za Benki ya Uganda zilidukuliwa na fedha kuhamishwa kinyume cha sheria.
Polisi imesema kuwa maafisa hao, wakiwemo kutoka idara ya hazina na ofisi ya mhasibu mkuu wa wizara, wanashikiliwa kwa ajili ya kusaidia uchunguzi wa tukio hilo.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Fedha haikutaja majina wala idadi kamili ya maafisa waliokamatwa, lakini msemaji wa polisi, Kituuma Rusoke, amethibitisha kuwa maafisa hao wameshikiliwa na vyombo vya sheria.
Gazeti la serikali la New Vision limeripoti kuwa wadukuzi hao, waliojitambulisha kama "Taka', walifanikiwa kudukua mifumo ya TEHAMA ya Benki ya Uganda na kuhamisha fedha hizo kwa njia haramu.
==
Those detained include the senior most official of the ministry's Treasury department, the police and the finance ministry said.
Some officers attached to the accountant general's office at the ministry "were summoned and detained by the Criminal Investigations Department to facilitate conclusion of the investigations," the finance ministry said in a post on its X account late on Tuesday.
The ministry did not give the names of those detained or their number. Police spokesperson Kituuma Rusoke, however, told NTV television that nine officials had been detained and also read out their names that included the top Treasury official.
The official and the eight others arrested were not immediately reachable to comment.
State-owned New Vision newspaper had reported that hackers, identifying themselves as "Waste", accessed the Bank of Uganda's IT systems and illicitly transferred the funds. ($1 = 3,675.0000 Ugandan shillings)