Benki Kuu acheni kuwalinda Tigo Pesa

activist

Senior Member
Jan 3, 2014
165
213
Mwaka 2019 benki kuu ya Tanzania Ilitengeneza kanuni za kuwalinda walaji wa huduma ndogo za fedha zikiitwa BANK OF TANZANIA FINANCIAL CONSUMER PROTECTION REGULATION,GN 884 2019, lengo la kanuni hizi ni kumlinda mteja wa huduma za fedha kama tigopesa, mpesa . N.k

Kanuni hizi zinamtaka mlaji anapokuwa na malalamiko dhidi ya mtoa huduma basi hatua ya kwanza anatakiwa kuwasilisha malalamiko husika kwa mtoa huduma wake, zikipita siku 14 mtoa huduma hajashughulikia au kujibu basi itambidi kuwasilisha malalamiko dawati la malalamiko benki kuu ya tanzania, ambapo malalamiko hayo yatashughulikiwa ndani ya siku 45. Kama mlaji hataridhishwa na uamuzi wa dawati basi itamlazimu kuomba REVISION kwa gavana wa benki kuu.

Mwezi wa tano mwaka huu tigo pesa walinikata pesa kwenye account yangu kiasi cha shilingi 118,000/= , ambapo baada ya kukata pesa hiyo niliwaandikia tigo kuwalalamikia, lakini tigo hawakujibu. Malalamiko yalijikita kwenye mambo mawili, kurudisha hela yangu, lakini pia kunifidia hasara waliyonisababishia kulingana na ushahidi niliowasilisha kwao. Tigo walirejesha hela baada ya kusumbuana sana ila issue ya fidia hawakutaka kujibu.

Ilinilazimu kuzingatia kanuni na kuwasilisha malalamiko benki kuu, kwa kuwa kanuni zinataka kufanya hivyo na ukienda kinyume kufungua kesi mahakamani moja kwa moja unakutana na mapingamizi. (Preliminary objections) badala benki kuu wasikilize malalamiko na kutoa uamuzi, (determination) wao wanatoa maoni na ushauri kinyume kabisa na kanuni ambazo wao ni regulator.

Kwenye kanuni hakuna mahali ambapo benki kuu wana wajibu wa kutoa ushauri na maoni. Wajibu wao ni kupokea, kusikiliza na kutoa uamuzi wa malalamiko kwa mujibu wa kanuni.

Mh gavana naomba utupie jicho dawati la malalamiko la benki kuu kuna namna wanawalinda watoa huduma kuwajibika kwa walaji kwa matatizo wanayotusababishia.

20240905_104224.jpg
 
Samahani mkuu, hapo fidia ya usumbufu ilipaswa tigopesa wakulipe pesa ngapi kwa mujibu wa sheria na kanuni husika?.
 
Mkuu we muhaya au mparee...unapenda kesi.ila nimependa uko smart na confidesi yako nzuri,waburuzee mahakamani wamezoea
Hahaha wahuni hawa mkuu. Wamenisababishia hasara ambayo kwa kweli siwezi kuwaacha. Tatizo Bot wanawakingia kifua hawataki wawajibike. Badala Bot watoe uamuzi wa malalamiko yangu, wao wananipa maoni na ushauri kinyume kabisa na regulations zao. Ushauri wao wanataka nikimbilie mahalamani ili nikapigwe pingamizi kwa kuambiwa ninatakiwa ku exhaust local remedies mechanisms kabla ya kukimbilia huko. Wahuni wote hawa wanalindana.
 
Mwaka 2019 benki kuu ya Tanzania Ilitengeneza kanuni za kuwalinda walaji wa huduma ndogo za fedha zikiitwa BANK OF TANZANIA FINANCIAL CONSUMER PROTECTION REGULATION,GN 884 2019, lengo la kanuni hizi ni kumlinda mteja wa huduma za fedha kama tigopesa, mpesa . N.k

Kanuni hizi zinamtaka mlaji anapokuwa na malalamiko dhidi ya mtoa huduma basi hatua ya kwanza anatakiwa kuwasilisha malalamiko husika kwa mtoa huduma wake, zikipita siku 14 mtoa huduma hajashughulikia au kujibu basi itambidi kuwasilisha malalamiko dawati la malalamiko benki kuu ya tanzania, ambapo malalamiko hayo yatashughulikiwa ndani ya siku 45. Kama mlaji hataridhishwa na uamuzi wa dawati basi itamlazimu kuomba REVISION kwa gavana wa benki kuu.

Mwezi wa tano mwaka huu tigo pesa walinikata pesa kwenye account yangu kiasi cha shilingi 118,000/= , ambapo baada ya kukata pesa hiyo niliwaandikia tigo kuwalalamikia, lakini tigo hawakujibu. Malalamiko yalijikita kwenye mambo mawili, kurudisha hela yangu, lakini pia kunifidia hasara waliyonisababishia kulingana na ushahidi niliowasilisha kwao. Tigo walirejesha hela baada ya kusumbuana sana ila issue ya fidia hawakutaka kujibu.

Ilinilazimu kuzingatia kanuni na kuwasilisha malalamiko benki kuu, kwa kuwa kanuni zinataka kufanya hivyo na ukienda kinyume kufungua kesi mahakamani moja kwa moja unakutana na mapingamizi. (Preliminary objections) badala benki kuu wasikilize malalamiko na kutoa uamuzi, (determination) wao wanatoa maoni na ushauri kinyume kabisa na kanuni ambazo wao ni regulator.

Kwenye kanuni hakuna mahali ambapo benki kuu wana wajibu wa kutoa ushauri na maoni. Wajibu wao ni kupokea, kusikiliza na kutoa uamuzi wa malalamiko kwa mujibu wa kanuni.

Mh gavana naomba utupie jicho dawati la malalamiko la benki kuu kuna namna wanawalinda watoa huduma kuwajibika kwa walaji kwa matatizo wanayotusababishia.

View attachment 3087653
Hatari sabaa
 
Mwaka 2019 benki kuu ya Tanzania Ilitengeneza kanuni za kuwalinda walaji wa huduma ndogo za fedha zikiitwa BANK OF TANZANIA FINANCIAL CONSUMER PROTECTION REGULATION,GN 884 2019, lengo la kanuni hizi ni kumlinda mteja wa huduma za fedha kama tigopesa, mpesa . N.k

Kanuni hizi zinamtaka mlaji anapokuwa na malalamiko dhidi ya mtoa huduma basi hatua ya kwanza anatakiwa kuwasilisha malalamiko husika kwa mtoa huduma wake, zikipita siku 14 mtoa huduma hajashughulikia au kujibu basi itambidi kuwasilisha malalamiko dawati la malalamiko benki kuu ya tanzania, ambapo malalamiko hayo yatashughulikiwa ndani ya siku 45. Kama mlaji hataridhishwa na uamuzi wa dawati basi itamlazimu kuomba REVISION kwa gavana wa benki kuu.

Mwezi wa tano mwaka huu tigo pesa walinikata pesa kwenye account yangu kiasi cha shilingi 118,000/= , ambapo baada ya kukata pesa hiyo niliwaandikia tigo kuwalalamikia, lakini tigo hawakujibu. Malalamiko yalijikita kwenye mambo mawili, kurudisha hela yangu, lakini pia kunifidia hasara waliyonisababishia kulingana na ushahidi niliowasilisha kwao. Tigo walirejesha hela baada ya kusumbuana sana ila issue ya fidia hawakutaka kujibu.

Ilinilazimu kuzingatia kanuni na kuwasilisha malalamiko benki kuu, kwa kuwa kanuni zinataka kufanya hivyo na ukienda kinyume kufungua kesi mahakamani moja kwa moja unakutana na mapingamizi. (Preliminary objections) badala benki kuu wasikilize malalamiko na kutoa uamuzi, (determination) wao wanatoa maoni na ushauri kinyume kabisa na kanuni ambazo wao ni regulator.

Kwenye kanuni hakuna mahali ambapo benki kuu wana wajibu wa kutoa ushauri na maoni. Wajibu wao ni kupokea, kusikiliza na kutoa uamuzi wa malalamiko kwa mujibu wa kanuni.

Mh gavana naomba utupie jicho dawati la malalamiko la benki kuu kuna namna wanawalinda watoa huduma kuwajibika kwa walaji kwa matatizo wanayotusababishia.

View attachment 3087653
Mkuu samahan,hizo siku 45 Huwa wanazihesabu vipi, nisaidie hapo then nije na nyongeza katika hilo
 
Na mimi Kuna lalamiko langu nilipeleka BoT,Kuna dalili hata hukumu yangu pia ikafanana na ya kwako maana naona kama Benki kuu inakwepa majukumu yake,Na mbaya zaidi nimeona Jina la huyo Mwanasheria wa Benki kuu anaitwa Violeth Luhanjo nahisi uwezo Wake ni kdogo sana,maana hata kwenye ishu yangu Niko nae pia lakini comment zake zinatia shaka sana,Bo ijitathimini na Ninaahid kuleta mrejesho wangu hapa pia Ili tulinganishe
 
Na mimi Kuna lalamiko langu nilipeleka BoT,Kuna dalili hata hukumu yangu pia ikafanana na ya kwako maana naona kama Benki kuu inakwepa majukumu yake,Na mbaya zaidi nimeona Jina la huyo Mwanasheria wa Benki kuu anaitwa Violeth Luhanjo nahisi uwezo Wake ni kdogo sana,maana hata kwenye ishu yangu Niko nae pia lakini comment zake zinatia shaka sana,Bo ijitathimini na Ninaahid kuleta mrejesho wangu hapa pia Ili tulinganishe
BoT ni wahuni mkuu. Baada ya kupeleka malalamiko yako kwa mtoa huduma zikipita siku 14 kama hawajashughulikia au kukujibu unapaswa kuwasilisha malalamiko yako kwa mujibu wa kanuni ya 53 ya kanuni za benki kuu zinazomlinda mlaji. Ila benki kuu wanaziwekea kifua sana hizi financial institutions. Kwa kuwa Bot walinijibu kwa maandishi nimeamua kuwasilisha malalamiko yangu mahakamani. Kesi itaanza kusikilizwa tar 1 j4.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom