Bendera ya Rais wa Tanzania in rangi ngapi?

Babaerefa

Member
Jun 11, 2022
54
52
Leo mtoto wangu wa drs la 3 ameniuliza swali hili akidai ni homework amepewa shuleni. Haraka tu nikagugo nipate jibu.nikaiona picha ya bendera ya Rais wetu ikiwa imezungushiwa rangi ya bluu huku kijani ikichukua sehemu kubwa. Nikaona pia rangi nyekundu ikiwa katika ngao. Kwa ujumla nimeshindwa kutoa jibu. Uzi tayari karibuni
 
Kaka we hukusoma? Au imekuja kutuchora? Inamaana vitu muhimu hata alama za inchi Yako hujui?
 
Leo mtoto wangu wa drs la 3 ameniuliza swali hili akidai ni homework amepewa shuleni. Haraka tu nikagugo nipate jibu.nikaiona picha ya bendera ya Rais wetu ikiwa imezungushiwa rangi ya bluu huku kijani ikichukua sehemu kubwa. Nikaona pia rangi nyekundu ikiwa katika ngao. Kwa ujumla nimeshindwa kutoa jibu. Uzi tayari karibuni

Maswali ya shule za kulipia haya
 
Back
Top Bottom