Ben Saanane aliniunganisha na wauza kemikali za migodini kutoka India, nikawa napeleka Msumbiji migodini. Leo simpati

Arovera

JF-Expert Member
Nov 19, 2013
12,573
34,327
Leo siasa pembeni

Leo nimeingia kwenye majonzi binafsi

Ben rafiki yangu wa miaka mingi aliniunganisha na wazalishaji wa kemikali nchini India maana alifahamiana nao akiwa kule.

Leo supplier wangu ananiuliza hivi fulani yuko wapi (Ben Saanane)? Nimekosa jibu la kumpatia huyo muhindi.

Hapa nimewaza nilivOfahamiana na Ben, hadi mchango wa harusi yake nilichangia na akawa rafiki na akanipa deal nzito ninayokula pesa mpaka leo basi tu.

Alipo popote Ben, leo nimemkumbuka Kwa wema wake kwangu,
 
Leo siasa pembeni

Leo nimeingia kwenye majonzi binafsi

Ben rafiki yangu wa miaka mingi aliniunganisha na wazalishaji wa kemikali nchini India maana alifahamiana nao akiwa kule.

Leo supplier wangu ananiuliza hivi fulani yuko wapi (Ben Saanane)? Nimekosa jibu la kumpatia huyo muhindi.

Hapa nimewaza nilivOfahamiana na Ben, hadi mchango wa harusi yake nilichangia na akawa rafiki na akanipa deal nzito ninayokula pesa mpaka leo basi tu.

Alipo popote Ben, leo nimemkumbuka Kwa wema wake kwangu,
Mkolomije,nzirankende na vizazi vyao vilaaniwe!! Unaua mtu kisa kutofautiana mtazamo binafsi?
 
Leo siasa pembeni

Leo nimeingia kwenye majonzi binafsi

Ben rafiki yangu wa miaka mingi aliniunganisha na wazalishaji wa kemikali nchini India maana alifahamiana nao akiwa kule.

Leo supplier wangu ananiuliza hivi fulani yuko wapi (Ben Saanane)? Nimekosa jibu la kumpatia huyo muhindi.

Hapa nimewaza nilivOfahamiana na Ben, hadi mchango wa harusi yake nilichangia na akawa rafiki na akanipa deal nzito ninayokula pesa mpaka leo basi tu.

Alipo popote Ben, leo nimemkumbuka Kwa wema wake kwangu,
Kaka yetu Ben walimpeleka Katavi.
 
Leo siasa pembeni

Leo nimeingia kwenye majonzi binafsi

Ben rafiki yangu wa miaka mingi aliniunganisha na wazalishaji wa kemikali nchini India maana alifahamiana nao akiwa kule.

Leo supplier wangu ananiuliza hivi fulani yuko wapi (Ben Saanane)? Nimekosa jibu la kumpatia huyo muhindi.

Hapa nimewaza nilivOfahamiana na Ben, hadi mchango wa harusi yake nilichangia na akawa rafiki na akanipa deal nzito ninayokula pesa mpaka leo basi tu.

Alipo popote Ben, leo nimemkumbuka Kwa wema wake kwangu,
😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom