Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,315
- 7,690
Leo ikiwa ni alhamisi basi ni siku ya TBT.
Huyu hapa beki kisiki anayeogopww na fowadi nzima ya Uto, Abdulrazak Hamza, hapa akiwa Mbeya City. Alikuwa na miaka 12 tu ila balaa lake lilikuwa la moto sana.
Kama hukufanikiwa kumuona Victor Costa akicheza basi wewe mtazame tu Hamza
Huyu hapa beki kisiki anayeogopww na fowadi nzima ya Uto, Abdulrazak Hamza, hapa akiwa Mbeya City. Alikuwa na miaka 12 tu ila balaa lake lilikuwa la moto sana.
Kama hukufanikiwa kumuona Victor Costa akicheza basi wewe mtazame tu Hamza