Kama kawaida ya kila mwaka kipindi cha masika viwanda vya sukari vimeanza kufungwa na sukari imepanda bei.
Hapa Arusha bei ya jumla imepanda kutoka tzs 98,000 kwa mfuko wa kilo 50 hadi TZS 1050,00. Bei ya rejareja ni TZS 2,500 kwa kilo kutoka 2,200.
Tunaomba Waziri Mkuu atoe tamko kama hii ni halali na serikali inachukua hatua gani kuziba pengo kama kuna upungufu.