BAWACHA watangaza kuchoma vitenge walivyopewa kama zawadi na Rais Samia mwaka jana

Mindyou

Senior Member
Sep 2, 2024
191
535
Baraza La Wanawake CHADEMA maarufu kama BAWACHA imetoa tamko rasmi kufuatia matendo ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.

BAWACHA wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya leo wametangaza kuwa kutokana na kitendo cha Rais Samia kutokuwawajibisha wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao na wanachama wengine wa CHADEMA waliotekwa, wameamua kuchoma moto vitenge walivyopewa na Rais Samia kwenye tukio la kuadhimisha siku ya mwanamkd duniani mwaka jana.

"Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana"

Source: Jambo TV
 
Waendelee kuvivaaa kwani kile kipindi walikuwa wanajidai kumuthamini mama na kumtukana magufuri.Kwani aheri magufuri kwani alikuwa anakunguta hata wanaccm wenzake kuliko mama anakumbatia hata majizi na ameweka mfumo wa jamaa zake kuajiliwa ofisi zake binafsi na kyingia madili ya ufisadi.
 
Waendelee kuvivaaa kwani kile kipindi walikuwa wanajidai kumuthamini mama na kumtukana magufuri.Kwani aheri magufuri kwani alikuwa anakunguta hata wanaccm wenzake kuliko mama anakumbatia hata majizi na ameweka mfumo wa jamaa zake kuajiliwa ofisi zake binafsi na kyingia madili ya ufisadi
Si ndiyo hapo hata wao wanafki tu hakuna lolote waendelee kuvaa tu kwasababu tushazijua rangi zao.
 
Waendelee kuvivaaa kwani kile kipindi walikuwa wanajidai kumuthamini mama na kumtukana magufuri.Kwani aheri magufuri kwani alikuwa anakunguta hata wanaccm wenzake kuliko mama anakumbatia hata majizi na ameweka mfumo wa jamaa zake kuajiliwa ofisi zake binafsi na kyingia madili ya ufisadi
Yaani huyu maza ana spidi hatari, magari makubwa mengii ya usafirishaji, tankers na sasa anachimba madini sengerema
 
Ishara nzuri ila wangewapatia wahitaji kuna watu hawana ata cha kujifunika usiku hii nchi.
UmeShaambiwa ni BAWACHA Sasa akili hizo watatoa wapi?!!
BAWACHA ni jamii ya nyumbu awafugao mbowe Sasa km ni nyumbu unafikiri watakuwa na chembe yoyote ya akili?!!!

Sawa, enhe, hilo litasaidia nn?!!! Samia ana shida na hizo khanga?!!! Kama wamemuimbia nyimbo ya kumkatili kabisa kuwa eti ni muuaji mkubwa kuwahi kutokea Tanzania hii na Bado akawapuuza, atadhulika nini' na huo ujinga wa kuchoma hivyo vitambaa?!!!!
 
Baraza La Wanawake CHADEMA maarufu kama BAWACHA imetoa tamko rasmi kufuatia matendo ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.

BAWACHA wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya leo wametangaza kuwa kutokana na kitendo cha Rais Samia kutokuwawajibisha wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao na wanachama wengine wa CHADEMA waliotekwa, wameamua kuchoma moto vitenge walivyopewa na Rais Samia kwenye tukio la kuadhimisha siku ya mwanamkd duniani mwaka jana.

"Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana"

Source: Jambo TV
Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana".. Kimeumana..!!!
 
Ina maana mwanzo walikubali kuchukua rushwa lakini wamekataa baada kizimkazi kuuwa watanzania?Ilitakiwa waikatae rushwa Toka kipindi hicho.Kingine wakafungue kesi ICC ili kumwajibisha huyu kizimkazi kuueleza umma amewapeleka wapi Hawa watu ambao amewaficha.
 
Baraza La Wanawake CHADEMA maarufu kama BAWACHA imetoa tamko rasmi kufuatia matendo ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.

BAWACHA wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya leo wametangaza kuwa kutokana na kitendo cha Rais Samia kutokuwawajibisha wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao na wanachama wengine wa CHADEMA waliotekwa, wameamua kuchoma moto vitenge walivyopewa na Rais Samia kwenye tukio la kuadhimisha siku ya mwanamkd duniani mwaka jana.

"Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana"

Source: Jambo TV
Nimeangalia Press ya wamama wa CDM kusema kweli imepyaya sana Amina Chambo Mdee na group lake la Covid 19 mule kweli kuna Majembe haswa mimi ni washauri CDM wakae chini kwa maslai mapana ya chama Chao kiwarudishe wale Wamama, Ni kweli walipotoka na huwenda kunadharau pia walitoa lakini bado ni hazina kubwa ktk kujenga Taifa letu. Pia bado ni vijana wanamda mrefu sana wakufanya kazi.
 
Nimeangalia Press ya wamama wa CDM kusema kweli imepyaya sana kusema kweli Halima Mdee na group lake la Covid 19 mule kweli kuna Majembe haswa ,mimi ni washauri CDM wakae chini kwa maslai mapana ya chama Chao kiwarudishe wale Wamama, Ni kweli walipotoka na huwenda kunadharau pia walitoa lakini bado ni hazina kubwa ktk kujenga Taifa letu. Pia bado ni vijana wanamda mrefu sana wakufanya kazi.
 
Back
Top Bottom