Mmawia JF-Expert Member Aug 20, 2013 122,494 96,073 Jul 1, 2016 #1 Basi la ota linalofanya safari zake kutoka bukoba kwenda dsm limepata ajali baada ya kuyagonga magari yaliyokuwa yamesimama barabarani baada pia ya kupata ajali maeneo ya dakawa na kuna habari kuwa abiria 5 kupoteza maisha
Basi la ota linalofanya safari zake kutoka bukoba kwenda dsm limepata ajali baada ya kuyagonga magari yaliyokuwa yamesimama barabarani baada pia ya kupata ajali maeneo ya dakawa na kuna habari kuwa abiria 5 kupoteza maisha
mdudu JF-Expert Member Feb 6, 2014 7,010 9,999 Jul 1, 2016 #2 Lete habali iliyojitosheleza,mwenye taalifa kamili na aliyepo eneo la tukio tunaomba atupe taalifa