KERO Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Wananchi tumechoshwa na shida ya Maji nchini

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
15,038
55,915
Mh Rais Samia Suluhu Hassan

Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Awali ya yote nianze kwa kukutakia uzima na afya katika kutekeleza majukumu yako.

Baada ya salamu hizo nije katika ujumbe ninaokusudia kukuandikia.

Ni hivi ndugu Rais, WANANCHI HATUNA MAJI YA UHAKIKA na kweli hii hali imetuchosha mno, inatufedhehesha mno na kwa ukwrli kabisa inatukasirisha mno.

Ndugu Rais, Leo miaka 64 ya Uhuru wa nchi hivi kweli Serikali yako na zenu za CCM zomeshindwa kutatua shida ya Maji?. Kitu ambacho ni basic need, kitu ambacho ni muhimu kuliko chochote kile katika maisha ya mwanadamu?.

Ndugu Rais hivi nyinyi vipaumbele gani ni muhimu kwanza kuliko maji?. Mko busy kununua midege ambayo ni secondary need, mko busy na Miuchaguzi feki ambayo huwa mnaivuruga, mko busy na mamisafara mirefumirefu, mko busy kununua magoli ya Simba na Yanga Lakini Suala la MAJI YA UHAKIKA mnafeli, hivi ndugu rais hamuoni aibu hamuoni haya?

Ndugu rais,
Zamani ilikuwa kila robo ya mwisho ya mwaka shida ya maji inaanza, sababu zilizokuwa zinatolewa ni zilezile, ooh ukame, ooh upungufu wa maji kwenye mto fulani. Sasa siku hizi hata kwenye miezi ya mwanzoni mwa mwaka shida ya maji iko palepale. Ndugu rais mnatupeleka wapi?

Ndugu rais
Hivi ninavyokwambia Jijini Dar es salaam, matatizo ya maji mtindo mmoja. Yaani tangu enzi za Nyerere zikaja za mzee Mzee Mwinyi na mpaka leo maji ni ya manati, hivi mnafanya nini ofisini nyie aisee?.

Ndugu Rais
Nyinyi hamna kisingizio cha maana juu ya uhaba wa maji nchini. Sababu kuu ni Incompetence yenu, Kutokujali mambo ambayo ni Primary mnaconcentrate kwenye mambo ambayo ni Secondary. Haiwezekani hii nchi yenye maji mengi kuliko nchi yoyote katika Africa iwe na uhaba wa maji wa kutisha kwa wananchi wake utadhani ni nchi ya jangwa. Yaani haiwezekani, common sense inagoma, inakataa katakata. Hili linaonyesha kuwa serikali zenu za CCM zimekuwa hopeless bin useless. Biblia inasema "IN ABUNDANCE OF WATER, THE FOOL IS THIRSTY"- yaani palipo na maji mengi, mpumbavu yeye bado ana kiu. Sasa inakuwaje tuna vyanzo vya maji mengi nchini namna hii halafu bado tuna shida ya maji kiasi hiki, ina maana sisi ni wapumbavu?.

Ndugu Rais.
Achana na kufanya vitu vya kufikirika. Solve vitu vya msingi kwanza. Solve tstizo la Maji, weka mazingira ya kuhakikisha raia wanakula wanashiba, weka mazingira ya kuhakikisha wanavaa mavazi yenye heshima, weka mazingira mazuri ya usafiri wao, weka mazingira ya elimu nzuri na huduma bora za afya. LAKINI KATIKA YOTE HAYO MAJI NDO TOP PRIORITY

Punguza na bana matumizi ya serikali.
Rasilimali za nchi zitumike wisely, achana na habari za kuingia mikataba mibovu ya miaka mingi ili kupata hela za harakaharaka za kutekeleza miradi ya muda mfupi ya "kuombea kura" (ofcourse natambua kuwa siku hizi hata kura zenyewe haxina thamani anyway.)

Ndugu Rais, liko wapi Bwawa la Kinunda?- Miaka minne iliyopita kulipokuwa na shida ya maji ya kutisha Dar (kama kawaida yake), Ulikuja na kauli ya kisiasa ya ujenzi wa bwawa la Kinunda , hebu tueleze ndugu Rais, hilo bwawa limefikia asilimia ngapi ya ujenzi na limetengewa bajeti sh ngapi?. Ndugu Rais wananchi tunapenda ukweli siyo kupigwa Saundi!

Ndugu Rais
Nawasilisha huku nikiwa na hasira sana kwa sababu ya serikali yako na za wenzako waliopita kushindwa kusolve tatizo la maji wakati tuna vyanzo kibao vya maji nchini.

Missile of the Nation.
 
Kupata taarifa ni jambo moja
Kuielewa ni jambo la pili
Kuna na nia ya kuofanyia kazi ni jambo la tatu
Kuwa na wasaidizi wakufanikisha ni jambo la 10
 
Mh Rais Samia Suluhu Hassan

Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Awali ya yote nianze kwa kukutakia uzima na afya katika kutekeleza majukumu yako.

Baada ya salamu hizo nije katika ujumbe ninaokusudia kukuandikia.

Ni hivi ndugu Rais, WANANCHI HATUNA MAJI YA UHAKIKA na kweli hii hali imetuchosha mno, inatufedhehesha mno na kwa ukwrli kabisa inatukasirisha mno.

Ndugu Rais, Leo miaka 64 ya Uhuru wa nchi hivi kweli Serikali yako na zenu za CCM zomeshindwa kutatua shida ya Maji?. Kitu ambacho ni basic need, kitu ambacho ni muhimu kuliko chochote kile katika maisha ya mwanadamu?.

Ndugu Rais hivi nyinyi vipaumbele gani ni muhimu kwanza kuliko maji?. Mko busy kununua midege ambayo ni secondary need, mko busy na Miuchaguzi feki ambayo huwa mnaivuruga, mko busy na mamisafara mirefumirefu, mko busy kununua magoli ya Simba na Yanga Lakini Suala la MAJI YA UHAKIKA mnafeli, hivi ndugu rais hamuoni aibu hamuoni haya?

Ndugu rais,
Zamani ilikuwa kila robo ya mwisho ya mwaka shida ya maji inaanza, sababu zilizokuwa zinatolewa ni zilezile, ooh ukame, ooh upungufu wa maji kwenye mto fulani. Sasa siku hizi hata kwenye miezi ya mwanzoni mwa mwaka shida ya maji iko palepale. Ndugu rais mnatupeleka wapi?

Ndugu rais
Hivi ninavyokwambia Jijini Dar es salaam, matatizo ya maji mtindo mmoja. Yaani tangu enzi za Nyerere zikaja za mzee Mzee Mwinyi na mpaka leo maji ni ya manati, hivi mnafanya nini ofisini nyie aisee?.

Ndugu Rais
Nyinyi hamna kisingizio cha maana juu ya uhaba wa maji nchini. Sababu kuu ni Incompetence yenu, Kutokujali mambo ambayo ni Primary mnaconcentrate kwenye mambo ambayo ni Secondary. Haiwezekani hii nchi yenye maji mengi kuliko nchi yoyote katika Africa iwe na uhaba wa maji wa kutisha kwa wananchi wake utadhani ni nchi ya jangwa. Yaani haiwezekani, common sense inagoma, inakataa katakata. Hili linaonyesha kuwa serikali zenu za CCM zimekuwa hopeless bin useless. Biblia inasema "IN ABUNDANCE OF WATER, THE FOOL IS THIRSTY"- yaani palipo na maji mengi, mpumbavu yeye bado ana kiu. Sasa inakuwaje tuna vyanzo vya maji mengi nchini namna hii halafu bado tuna shida ya maji kiasi hiki, ina maana sisi ni wapumbavu?.

Ndugu Rais.
Achana na kufanya vitu vya kufikirika. Solve vitu vya msingi kwanza. Solve tstizo la Maji, weka mazingira ya kuhakikisha raia wanakula wanashiba, weka mazingira ya kuhakikisha wanavaa mavazi yenye heshima, weka mazingira mazuri ya usafiri wao, weka mazingira ya elimu nzuri na huduma bora za afya. LAKINI KATIKA YOTE HAYO MAJI NDO TOP PRIORITY

Punguza na bana matumizi ya serikali.
Rasilimali za nchi zitumike wisely, achana na habari za kuingia mikataba mibovu ya miaka mingi ili kupata hela za harakaharaka za kutekeleza miradi ya muda mfupi ya "kuombea kura" (ofcourse natambua kuwa siku hizi hata kura zenyewe haxina thamani anyway.)

Ndugu Rais, liko wapi Bwawa la Kinunda?- Miaka minne iliyopita kulipokuwa na shida ya maji ya kutisha Dar (kama kawaida yake), Ulikuja na kauli ya kisiasa ya ujenzi wa bwawa la Kinunda , hebu tueleze ndugu Rais, hilo bwawa limefikia asilimia ngapi ya ujenzi na limetengewa bajeti sh ngapi?. Ndugu Rais wananchi tunapenda ukweli siyo kupigwa Saundi!

Ndugu Rais
Nawasilisha huku nikiwa na hasira sana kwa sababu ya serikali yako na za wenzako waliopita kushindwa kusolve tatizo la maji wakati tuna vyanzo kibao vya maji nchini.

Missile of the Nation.
Mheshimiwa Rais anafurahia watu kukusanyika Dodoma kumpigia makofi!Wakati duniani huko watu wanawivu na nchi zao na wanajitahidi hata kuzitoa nchi zao kwenye kuisaidia dunia ili wainue maisha ya watu wao(tena wao wameshaendelea) sisi huku tuko busy kuharibu chaguzi na uchawa wa kijinga..kuchezea hela hovyohovyo.Chama cha mapinduzi hakina tena collective decision sasa ni kakikundi kawachache wanajifungia wanakuja na makabrasha ya maamuzi kwenye mikutano yao!
Miaka inakatika hatuoni any big leap kwenye sekta yyt mambo ni business as usual!Inasikitisha na inauma sana.Hv ninyi usalama wa Taifa ninyi hamuoni uchungu nchi inavyojikongoja hivi!!!!!Kweli karne hii makao makuu ya nchi hakuna maji safi na salama!!!!!???Pamoja na mito/maziwa yoote haya kweli!?Hata kama hamna expertise mnashindwa hata kukodi wataalam mkawalipa???F***k
 
Mh Rais Samia Suluhu Hassan

Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Awali ya yote nianze kwa kukutakia uzima na afya katika kutekeleza majukumu yako.

Baada ya salamu hizo nije katika ujumbe ninaokusudia kukuandikia.

Ni hivi ndugu Rais, WANANCHI HATUNA MAJI YA UHAKIKA na kweli hii hali imetuchosha mno, inatufedhehesha mno na kwa ukwrli kabisa inatukasirisha mno.

Ndugu Rais, Leo miaka 64 ya Uhuru wa nchi hivi kweli Serikali yako na zenu za CCM zomeshindwa kutatua shida ya Maji?. Kitu ambacho ni basic need, kitu ambacho ni muhimu kuliko chochote kile katika maisha ya mwanadamu?.

Ndugu Rais hivi nyinyi vipaumbele gani ni muhimu kwanza kuliko maji?. Mko busy kununua midege ambayo ni secondary need, mko busy na Miuchaguzi feki ambayo huwa mnaivuruga, mko busy na mamisafara mirefumirefu, mko busy kununua magoli ya Simba na Yanga Lakini Suala la MAJI YA UHAKIKA mnafeli, hivi ndugu rais hamuoni aibu hamuoni haya?

Ndugu rais,
Zamani ilikuwa kila robo ya mwisho ya mwaka shida ya maji inaanza, sababu zilizokuwa zinatolewa ni zilezile, ooh ukame, ooh upungufu wa maji kwenye mto fulani. Sasa siku hizi hata kwenye miezi ya mwanzoni mwa mwaka shida ya maji iko palepale. Ndugu rais mnatupeleka wapi?

Ndugu rais
Hivi ninavyokwambia Jijini Dar es salaam, matatizo ya maji mtindo mmoja. Yaani tangu enzi za Nyerere zikaja za mzee Mzee Mwinyi na mpaka leo maji ni ya manati, hivi mnafanya nini ofisini nyie aisee?.

Ndugu Rais
Nyinyi hamna kisingizio cha maana juu ya uhaba wa maji nchini. Sababu kuu ni Incompetence yenu, Kutokujali mambo ambayo ni Primary mnaconcentrate kwenye mambo ambayo ni Secondary. Haiwezekani hii nchi yenye maji mengi kuliko nchi yoyote katika Africa iwe na uhaba wa maji wa kutisha kwa wananchi wake utadhani ni nchi ya jangwa. Yaani haiwezekani, common sense inagoma, inakataa katakata. Hili linaonyesha kuwa serikali zenu za CCM zimekuwa hopeless bin useless. Biblia inasema "IN ABUNDANCE OF WATER, THE FOOL IS THIRSTY"- yaani palipo na maji mengi, mpumbavu yeye bado ana kiu. Sasa inakuwaje tuna vyanzo vya maji mengi nchini namna hii halafu bado tuna shida ya maji kiasi hiki, ina maana sisi ni wapumbavu?.

Ndugu Rais.
Achana na kufanya vitu vya kufikirika. Solve vitu vya msingi kwanza. Solve tstizo la Maji, weka mazingira ya kuhakikisha raia wanakula wanashiba, weka mazingira ya kuhakikisha wanavaa mavazi yenye heshima, weka mazingira mazuri ya usafiri wao, weka mazingira ya elimu nzuri na huduma bora za afya. LAKINI KATIKA YOTE HAYO MAJI NDO TOP PRIORITY

Punguza na bana matumizi ya serikali.
Rasilimali za nchi zitumike wisely, achana na habari za kuingia mikataba mibovu ya miaka mingi ili kupata hela za harakaharaka za kutekeleza miradi ya muda mfupi ya "kuombea kura" (ofcourse natambua kuwa siku hizi hata kura zenyewe haxina thamani anyway.)

Ndugu Rais, liko wapi Bwawa la Kinunda?- Miaka minne iliyopita kulipokuwa na shida ya maji ya kutisha Dar (kama kawaida yake), Ulikuja na kauli ya kisiasa ya ujenzi wa bwawa la Kinunda , hebu tueleze ndugu Rais, hilo bwawa limefikia asilimia ngapi ya ujenzi na limetengewa bajeti sh ngapi?. Ndugu Rais wananchi tunapenda ukweli siyo kupigwa Saundi!

Ndugu Rais
Nawasilisha huku nikiwa na hasira sana kwa sababu ya serikali yako na za wenzako waliopita kushindwa kusolve tatizo la maji wakati tuna vyanzo kibao vya maji nchini.

Missile of the Nation.
we ndiyo wananchi? Bwege kweli
 
Na huu ndio ukweli wenyewe. Yuko bze anakula mpunga Dodoma tu.Shida kwa watanganyika hana mda nazo.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mh Rais Samia Suluhu Hassan

Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Awali ya yote nianze kwa kukutakia uzima na afya katika kutekeleza majukumu yako.

Baada ya salamu hizo nije katika ujumbe ninaokusudia kukuandikia.

Ni hivi ndugu Rais, WANANCHI HATUNA MAJI YA UHAKIKA na kweli hii hali imetuchosha mno, inatufedhehesha mno na kwa ukwrli kabisa inatukasirisha mno.

Ndugu Rais, Leo miaka 64 ya Uhuru wa nchi hivi kweli Serikali yako na zenu za CCM zomeshindwa kutatua shida ya Maji?. Kitu ambacho ni basic need, kitu ambacho ni muhimu kuliko chochote kile katika maisha ya mwanadamu?.

Ndugu Rais hivi nyinyi vipaumbele gani ni muhimu kwanza kuliko maji?. Mko busy kununua midege ambayo ni secondary need, mko busy na Miuchaguzi feki ambayo huwa mnaivuruga, mko busy na mamisafara mirefumirefu, mko busy kununua magoli ya Simba na Yanga Lakini Suala la MAJI YA UHAKIKA mnafeli, hivi ndugu rais hamuoni aibu hamuoni haya?

Ndugu rais,
Zamani ilikuwa kila robo ya mwisho ya mwaka shida ya maji inaanza, sababu zilizokuwa zinatolewa ni zilezile, ooh ukame, ooh upungufu wa maji kwenye mto fulani. Sasa siku hizi hata kwenye miezi ya mwanzoni mwa mwaka shida ya maji iko palepale. Ndugu rais mnatupeleka wapi?

Ndugu rais
Hivi ninavyokwambia Jijini Dar es salaam, matatizo ya maji mtindo mmoja. Yaani tangu enzi za Nyerere zikaja za mzee Mzee Mwinyi na mpaka leo maji ni ya manati, hivi mnafanya nini ofisini nyie aisee?.

Ndugu Rais
Nyinyi hamna kisingizio cha maana juu ya uhaba wa maji nchini. Sababu kuu ni Incompetence yenu, Kutokujali mambo ambayo ni Primary mnaconcentrate kwenye mambo ambayo ni Secondary. Haiwezekani hii nchi yenye maji mengi kuliko nchi yoyote katika Africa iwe na uhaba wa maji wa kutisha kwa wananchi wake utadhani ni nchi ya jangwa. Yaani haiwezekani, common sense inagoma, inakataa katakata. Hili linaonyesha kuwa serikali zenu za CCM zimekuwa hopeless bin useless. Biblia inasema "IN ABUNDANCE OF WATER, THE FOOL IS THIRSTY"- yaani palipo na maji mengi, mpumbavu yeye bado ana kiu. Sasa inakuwaje tuna vyanzo vya maji mengi nchini namna hii halafu bado tuna shida ya maji kiasi hiki, ina maana sisi ni wapumbavu?.

Ndugu Rais.
Achana na kufanya vitu vya kufikirika. Solve vitu vya msingi kwanza. Solve tstizo la Maji, weka mazingira ya kuhakikisha raia wanakula wanashiba, weka mazingira ya kuhakikisha wanavaa mavazi yenye heshima, weka mazingira mazuri ya usafiri wao, weka mazingira ya elimu nzuri na huduma bora za afya. LAKINI KATIKA YOTE HAYO MAJI NDO TOP PRIORITY

Punguza na bana matumizi ya serikali.
Rasilimali za nchi zitumike wisely, achana na habari za kuingia mikataba mibovu ya miaka mingi ili kupata hela za harakaharaka za kutekeleza miradi ya muda mfupi ya "kuombea kura" (ofcourse natambua kuwa siku hizi hata kura zenyewe haxina thamani anyway.)

Ndugu Rais, liko wapi Bwawa la Kinunda?- Miaka minne iliyopita kulipokuwa na shida ya maji ya kutisha Dar (kama kawaida yake), Ulikuja na kauli ya kisiasa ya ujenzi wa bwawa la Kinunda , hebu tueleze ndugu Rais, hilo bwawa limefikia asilimia ngapi ya ujenzi na limetengewa bajeti sh ngapi?. Ndugu Rais wananchi tunapenda ukweli siyo kupigwa Saundi!

Ndugu Rais
Nawasilisha huku nikiwa na hasira sana kwa sababu ya serikali yako na za wenzako waliopita kushindwa kusolve tatizo la maji wakati tuna vyanzo kibao vya maji nchini.

Missile of the Nation.
Hapa Tanga kata ya Pongwe kuna kijiji kinaitwa Kakindu maji hayajotoka mabombani zaidi ya mwezi sasa. Unalipa wafanyakazi wa Tanga Uwasa lakini maji hayatoki hivyo bill za maji nazo zinapungua. Ni hasara
 
Mh Rais Samia Suluhu Hassan

Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Awali ya yote nianze kwa kukutakia uzima na afya katika kutekeleza majukumu yako.

Baada ya salamu hizo nije katika ujumbe ninaokusudia kukuandikia.

Ni hivi ndugu Rais, WANANCHI HATUNA MAJI YA UHAKIKA na kweli hii hali imetuchosha mno, inatufedhehesha mno na kwa ukwrli kabisa inatukasirisha mno.

Ndugu Rais, Leo miaka 64 ya Uhuru wa nchi hivi kweli Serikali yako na zenu za CCM zomeshindwa kutatua shida ya Maji?. Kitu ambacho ni basic need, kitu ambacho ni muhimu kuliko chochote kile katika maisha ya mwanadamu?.

Ndugu Rais hivi nyinyi vipaumbele gani ni muhimu kwanza kuliko maji?. Mko busy kununua midege ambayo ni secondary need, mko busy na Miuchaguzi feki ambayo huwa mnaivuruga, mko busy na mamisafara mirefumirefu, mko busy kununua magoli ya Simba na Yanga Lakini Suala la MAJI YA UHAKIKA mnafeli, hivi ndugu rais hamuoni aibu hamuoni haya?

Ndugu rais,
Zamani ilikuwa kila robo ya mwisho ya mwaka shida ya maji inaanza, sababu zilizokuwa zinatolewa ni zilezile, ooh ukame, ooh upungufu wa maji kwenye mto fulani. Sasa siku hizi hata kwenye miezi ya mwanzoni mwa mwaka shida ya maji iko palepale. Ndugu rais mnatupeleka wapi?

Ndugu rais
Hivi ninavyokwambia Jijini Dar es salaam, matatizo ya maji mtindo mmoja. Yaani tangu enzi za Nyerere zikaja za mzee Mzee Mwinyi na mpaka leo maji ni ya manati, hivi mnafanya nini ofisini nyie aisee?.

Ndugu Rais
Nyinyi hamna kisingizio cha maana juu ya uhaba wa maji nchini. Sababu kuu ni Incompetence yenu, Kutokujali mambo ambayo ni Primary mnaconcentrate kwenye mambo ambayo ni Secondary. Haiwezekani hii nchi yenye maji mengi kuliko nchi yoyote katika Africa iwe na uhaba wa maji wa kutisha kwa wananchi wake utadhani ni nchi ya jangwa. Yaani haiwezekani, common sense inagoma, inakataa katakata. Hili linaonyesha kuwa serikali zenu za CCM zimekuwa hopeless bin useless. Biblia inasema "IN ABUNDANCE OF WATER, THE FOOL IS THIRSTY"- yaani palipo na maji mengi, mpumbavu yeye bado ana kiu. Sasa inakuwaje tuna vyanzo vya maji mengi nchini namna hii halafu bado tuna shida ya maji kiasi hiki, ina maana sisi ni wapumbavu?.

Ndugu Rais.
Achana na kufanya vitu vya kufikirika. Solve vitu vya msingi kwanza. Solve tstizo la Maji, weka mazingira ya kuhakikisha raia wanakula wanashiba, weka mazingira ya kuhakikisha wanavaa mavazi yenye heshima, weka mazingira mazuri ya usafiri wao, weka mazingira ya elimu nzuri na huduma bora za afya. LAKINI KATIKA YOTE HAYO MAJI NDO TOP PRIORITY

Punguza na bana matumizi ya serikali.
Rasilimali za nchi zitumike wisely, achana na habari za kuingia mikataba mibovu ya miaka mingi ili kupata hela za harakaharaka za kutekeleza miradi ya muda mfupi ya "kuombea kura" (ofcourse natambua kuwa siku hizi hata kura zenyewe haxina thamani anyway.)

Ndugu Rais, liko wapi Bwawa la Kinunda?- Miaka minne iliyopita kulipokuwa na shida ya maji ya kutisha Dar (kama kawaida yake), Ulikuja na kauli ya kisiasa ya ujenzi wa bwawa la Kinunda , hebu tueleze ndugu Rais, hilo bwawa limefikia asilimia ngapi ya ujenzi na limetengewa bajeti sh ngapi?. Ndugu Rais wananchi tunapenda ukweli siyo kupigwa Saundi!

Ndugu Rais
Nawasilisha huku nikiwa na hasira sana kwa sababu ya serikali yako na za wenzako waliopita kushindwa kusolve tatizo la maji wakati tuna vyanzo kibao vya maji nchini.

Missile of the Nation.
 

Attachments

  • Wasira.png
    Wasira.png
    304 KB · Views: 2
Back
Top Bottom