Barua ya wazi kwa Azam media

Mende mdudu

Senior Member
Feb 13, 2023
118
232
Kampuni ya azam media natambua mchango wenu katika michezo, ila kuna watu wachache wana wahujumu ili kuwarudisha nyuma, kama ilivo tokea kwenye ngumi adi mkaa amua kujiondoa.

Basi ushauri wangu kwenu bora mjiondoe pia kwenye mpila mechi kama izi ndo mlitakiwa mpate views wengi ila kuna watu kwa makusudi wana wakwambisha kwenye biashara yenu.

Ushauri wangu kwenu wekini pia kitengo cha intelgensia katika kampuni yenu msione Coca-Cola adi leo ipo toka kuanzishwa sio kwa bahati mbaya ingesaidia kumjua anae wahujumu.
 
Eleza Azam amepataje hasara maana ving'amuzi tumeishalipia tayari. Mimi naona mashabiki ndiyo tumehujumiwa!
Kwaiyo faida umeona kwenye king'amuzi tu kuna matangazo special mda wa mechi pale ynakuja kuna trust katka biashara biashara ni bland mzee sio vikang'muzi linda bland yako kwa namna yoyote
 
Kweli umu watu wengi akili ya biashara hawana mm nime focus kwenye bland wao wame focus kwenye vingamuz duh kweli tuna tofautiana uelewa bland yako iki guswa kwa namna moja au nyingne kiashara ni anguko tayar
 
Mnajua kwa nn aliamua kujitoa kuonyesha ngumi kama ving'amuzi vilikua vinalipiwa baada ya magumashi ya shilikisho la ngumi akachagua kujitoa kulinda bland yake
 
Hadi biashara kubwa kama kwenye Mpira kama akitoka dstv inainyemlelea hili dili kwa udi na star time nao wako wanainyemeleeaa kak biashara ni ushindani akijaribu tu kusuza bas ndio kifo Chake kinaanzia hapo
 
Na itatangazwa tar nyingne ya derby watu watalipia tena mm naona kwa azam ni faida kuliko hasara
Kupitia mechi kama iz ata africa mashariki soko la vingamuz lingekua tanueni fikra zenu wakuu
 
Utopolo mda wote ni kufata maelekezo ya mganga
IMG-20250308-WA0019.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom