johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 91,117
- 158,387
Japo mimi siyo mpenzi wa Simba SC Lakini nimemuelewa sana Gonzalez
Alichoongea ndio Ukweli Wenyewe huku Siasani
---
Kweli watu wanalipwa kupost picha za mtu kazini? Watu wazima kabisa wanakaa maofinisi kuaanda captions za wapambe kupost? Hizi ndo ajira za mitandao?
When did this become a strategy for statesmanship? The blind pursuit of cheap popularity!
Alichoongea ndio Ukweli Wenyewe huku Siasani
---
When did this become a strategy for statesmanship? The blind pursuit of cheap popularity!