Kiukweli baraza la vyama vya siasa halina faida yeyote.kuna wakati fulani ilikubaliwa kuwa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015 katiba iliyopo ilipaswa kufanyiwa marekebisho hili kukidhi mahitaji ya sasa lkn haikufanyika na baraza halikufanya chochote ma kubaliano yao na aliyekuwa rahisi wakati huo 2014