KERO Barabara ya Songea -Njombe inamong'onyoka kwenye kona kali, ni hatari kwa wanaoitumia

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Barabara hii ipo njia ya Songea Njombe inamongonyoka upande, sehem ya kona kali hivyo ni hatari kwa watumiani wa magari mazito, kama Malori, mabasi na magari ya mizogo.

Mamlaka ichukue Hatua za haraka kuepusha magari kuzama na kudondoka


 
Back
Top Bottom