Balozi wa Denmark nchini Tanzania anayemaliza muda wake, Mette Nørgaard Dissing-Spandet aitembelea JamiiForums

JamiiForums

JF Official Account
Nov 9, 2006
6,227
5,281
BALOZI WA DENMARK (1).jpg
BALOZI WA DENMARK (2).jpg
BALOZI WA DENMARK (3).jpg
BALOZI WA DENMARK (5).jpg
BALOZI WA DENMARK (4).jpg
BALOZI WA DENMARK (9).jpg
BALOZI WA DENMARK (8).jpg
BALOZI WA DENMARK (10).jpg
BALOZI WA DENMARK (7).jpg

Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette Nørgaard Dissing-Spandet ameitembelea JamiiForums (JF) na kufanya mazungumzo na Uongozi na Watendaji wake ikiwa ni pamoja na kujionea maendeleo ya Taasisi akiwa kama Mshirika muhimu wa JF.

Pia, Balozi amefika JF kwa lengo la kuaga rasmi ikiwa ni baada ya kumaliza utumishi wake nchini. Balozi Mette na Serikali ya Denmark wamekuwa wadau muhimu kwa JF katika shughuli mbalimbali.

JF inamtakia kila la heri Balozi Mette katika majukumu yake mengine atakayokwenda kuendelea nayo baada ya kuondoka Tanzania.
 
View attachment 3037696View attachment 3037697View attachment 3037695View attachment 3037694View attachment 3037693View attachment 3037692View attachment 3037691View attachment 3037690View attachment 3037689
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette Nørgaard Dissing-Spandet ameitembelea JamiiForums (JF) na kufanya mazungumzo na Uongozi na Watendaji wake ikiwa ni pamoja na kujionea maendeleo ya Taasisi akiwa kama Mshirika muhimu wa JF.

Pia, Balozi amefika JF kwa lengo la kuaga rasmi ikiwa ni baada ya kumaliza utumishi wake nchini. Balozi Mette na Serikali ya Denmark wamekuwa wadau muhimu kwa JF katika shughuli mbalimbali.

JF inamtakia kila la heri Balozi Mette katika majukumu yake mengine atakayokwenda kuendelea nayo baada ya kuondoka Tanzania.
Ni faraja kuona mabalozi wanajali kazi mnayoifanya.

Hivi Ubalozi wa Denmark Tanzania bado upo katika mchakato wa kufungwa? Kuna wakati walisema wanataka kufunga ubalozi.
 
Of course, kati ya mitandao smart, JF ni mojawapo. na bila kupepesa macho, mtandao huu umechangia pakubwa sana kufikisha ujume kwa jamii na kwa serikali na mambo mengi huwa yanarekebishwa hata serikalini kwasababu ma-TISS kibao wamejaa humu hadi viongozi wa kubwa karibia wote wapo humu wanachungulia nini tunawashauri warekebishe.

Hongereni sana.
 
Mi macho yangu yamelenga kwa hao wachuchu tu!

Nimewatambua wawili niliowabamba siku moja wakinilia chabo nilipokuwa naperuzi kurasa za JF halafu wakajikausha kama vile hawakuwa wananilia chabo 🤣🤣.

Si ajabu wameshawahi kunipiga ban hao.
 
Mi macho yangu yamelenga kwa hao wachuchu tu!

Nimewatambua wawili niliowabamba siku moja wakinilia chabo nilipokuwa naperuzi kurasa za JF halafu wakajikausha kama vile hawakuwa wananilia chabo 🤣🤣.

Si ajabu wameshawahi kunipiga ban hao.
Hahaha, mkuu!

Sio wote wanahusika na platform management.

Kuna programu 8, ya platform hii ni mojawapo. Wengine wapo kwenye programu nyingine mbalimbali
 
Mkuu, hadi umepiga hesabu kabisa? Hahaha!
Hahaha..........nimehesabu Kwa vidole hadi nimepata idadi kamili 🤗

Hongera Mkuu kwenye hilo, suala la jinsia naona ni muhimu kuzingatia wakati mwingine mahali pa Kazi.

Kuna Ziara Moja tulifanya na Viongozi Mwaka Fulani, nikakuta Mwanachi mmoja anaomba watumishi wa Kike wapelekwe kwenye Shule yao na Zahanati yao ya Kijiji kwani waliopo pale walikuwa Wanaume tupu 😅🙌
 
Hahaha, mkuu!

Sio wote wanahusika na platform management.

Kuna programu 8, ya platform hii ni mojawapo. Wengine wapo kwenye programu nyingine mbalimbali
Hard to imagine JF imekaribia kufikisha miaka 20!

Kweli muda unakimbia maana kwa baadhi yetu 2006 ni kama majuzi tu.

Sidhani kama kuna online forums zingine za Kitanzania ambazo zilikuwepo enzi hizo na mpaka hivi sasa bado zipo na zinashamiri.

JF has stood the test of time.
 
Hard to imagine JF imekaribia kufikisha miaka 20!

Kweli muda unakimbia maana kwa baadhi yetu 2006 ni kama majuzi tu.

Sidhani kama kuna online forums zingine za Kitanzania ambazo zilikuwepo enzi hizo na mpaka hivi sasa bado zipo na zinashamiri.

JF has stood the test of time.
Umenishtua. Miaka 20!! Miaka yaenda mbio. Sikuwahi kufikiri kuhesabu miaka ya Jf
 
Maamuzi yalikuwa revisited, wanabaki Tanzania. Unaweza kusoma hapa - Denmark reverses decision to close embassy in Tanzania
Kiongozi hongereni sana sana.

Watu hawaelewi, Mitandao kama hii inachangia pakubwa sana maendeleo ya nchi, tunaishauri serikali, tunaikosoa na wanafuata ushauri. na kwa sisi wahubiri, tunapata sehemu ya kuhubiri mambo mema pia, tungehubiria wapi kama msingeanzisha.

Wewe na team yako tunakupongeza pakubwa na huu ni ushahidi kwamba vijana wa Tanzania wakiamua wanaweza kuzitumia akili zao vizuri kwa manufaa ya umma na kwa maendeleo ya jamii.

Mungu awabariki.
 
Back
Top Bottom