johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 96,985
- 170,058
Balozi Hoyce Temu aliyepo Geneva amesema Dkt. Ndugulile alikuwa Mtu mwenye misimamo na aliyelisaidia Taifa katika mambo mengi Bila mbwembwe
Temu amesema alimjua Dr Ndugulile walipokuwa kwenye Timu ya Kampeni ya Spika Dr Tulia PhD alipokuwa anagombea Urais wa Umoja wa Mabunge Duniani
Temu anasema katika Timu ya Kampeni ya Spika Dr Tulia Mchango wa marehemu Ndugulile ulikuwa usio na mfano, alifanya kila aliloweza hadi tukaibuka Washindi
Ahsanteni Sana 😃
Temu amesema alimjua Dr Ndugulile walipokuwa kwenye Timu ya Kampeni ya Spika Dr Tulia PhD alipokuwa anagombea Urais wa Umoja wa Mabunge Duniani
Temu anasema katika Timu ya Kampeni ya Spika Dr Tulia Mchango wa marehemu Ndugulile ulikuwa usio na mfano, alifanya kila aliloweza hadi tukaibuka Washindi
Ahsanteni Sana 😃