Bado PM yangu haifunguki

Gumasa

Member
May 10, 2023
32
32
Wakuu pamoja na wataalamu wa Mambo,bill kusahau ma-operator wa JF.Nimeshindwa kabisa kusoma jumbe kwenye PM maana haifunguki zaidi ya kuni-direct nifungue messenger na baadaye inaandika "connecting" muda wote.Nimejaribu kuinstall app upya au kutumia browser tofauti lakini hakuna mafanikio.
Kuna document nimetumiwa huko ninaiihitaji Sana,tafadhali naombeni msaada Sana.
 
Wakuu pamoja na wataalamu wa Mambo,bill kusahau ma-operator wa JF.Nimeshindwa kabisa kusoma jumbe kwenye PM maana haifunguki zaidi ya kuni-direct nifungue messenger na baadaye inaandika "connecting" muda wote.Nimejaribu kuinstall app upya au kutumia browser tofauti lakini hakuna mafanikio.
Kuna document nimetumiwa huko ninaiihitaji Sana,tafadhali naombeni msaada Sana.
Maxence Melo mteja wako anashida huku
 
Wakuu pamoja na wataalamu wa Mambo,bill kusahau ma-operator wa JF.Nimeshindwa kabisa kusoma jumbe kwenye PM maana haifunguki zaidi ya kuni-direct nifungue messenger na baadaye inaandika "connecting" muda wote.Nimejaribu kuinstall app upya au kutumia browser tofauti lakini hakuna mafanikio.
Kuna document nimetumiwa huko ninaiihitaji Sana,tafadhali naombeni msaada Sana.

Fanya hivi update Browser /Chrome yako .

Ukimaliza ingia ukifanikiwa ulete mrejesho hapa katika Uzi wako
 
Back
Top Bottom