Baba Levo: Kama nikifa leo au kesho basi mjue Harmonize ndio ameniua

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
4,058
14,376
Baba Levo bado anaugulia maumivu makali ya shingo baada ya kula kichapo kutoka kwa Harmonize.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Babalevo amesema,

"Shingo linaniuma, kama nikifa leo au kesho kwa tatizo hili basi mjue Harmo ndio ameniua" - Baba Levo

Screenshot_20240212-190308.jpg


Ikumbukwe kuwa Baba levo ameshachukua RB na kumshitaki Harmonize kwenye vyombo vya dola kwa tukio la kushambuliwa.

- Baba Levo amfungulia kesi Harmonize

Written by Mjanja M1 ✍️
 
Hapo noma anachofanya babalevo kumtengenezea mazingira magumu harmonize ili apige pesa ndefu mahakamani kitendo chake chakupigwa kachukua kama kete ya kumuingizia income mjini shule
 
Hizi kauli kama utani, lakini ikitokea huyo Chawa kafa kweli, harmonize anaweza kujikuta kwenye wakati mgumu kimasihara tuu

Hii pia unamtengenezea mtu chuki wabaya wake wanaweza kutumia hiyo nafasi...
 
Hizi kauli kama utani, lakini ikitokea huyo Chawa kafa kweli, harmonize anaweza kujikuta kwenye wakati mgumu kimasihara tuu

Hii pia unamtengenezea mtu chuki wabaya wake wanaweza kutumia hiyo nafasi...
Mambo sio rahisi kama unavyofikiria mkuu,
Vipi kama akipimwa Postmortem na ikathibitishwa na Dokta kua kifo chake hakikusababishwa na hayo maumivu ya shingo?
 
Hivi ilikuaje Harmonize mfupi akamdhuru Baba levo mrefu tena kwenye shingo? au alimrukia kama Chui? coz Baba Levo anadai Harmonize alimkaba kwenye shingo,

Anyway huyo Baba Levo hiyo ishu pia anaitumia ili kutrend tu.
 
Nilijua "infuensa" Dotto Magari anamtania tu kwamba ni Mcheza Dubwi hahaaa aiseee kumbe ni kweli kwamba Baba Revo ni Mcheza Kamari sana na kweli anaishi kwenye apartment.
 
Hilo lishamba sana, yanayotokea kwenye Casino hubaki kwenye Casino.... walipige ban casinos zote lisiende kupeleka uchawa wake hadi linakong'otwa.
 
Mtu anayekimbilia polisi kwa issue ndogo kama hii ambayo inaisha kishikaji ni fuckin snitch na siyo wa kumuamini.
 
Back
Top Bottom